spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 7,557 Reaction score 20,477 Feb 10, 2023 #21 Mimi naona wanaume ndo tunapeana sana mchongo ukizingatia unaweza ukampa connection mwanamke na akachoma kazi ukaonekana wewe na yeye wote mafala
Mimi naona wanaume ndo tunapeana sana mchongo ukizingatia unaweza ukampa connection mwanamke na akachoma kazi ukaonekana wewe na yeye wote mafala
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,052 Reaction score 7,375 Feb 10, 2023 #22 spidernyoka said: Mimi naona wanaume ndo tunapeana sana mchongo ukizingatia unaweza ukampa connection mwanamke na akachoma kazi ukaonekana wewe na yeye wote mafala Click to expand... Kabisa mzee..
spidernyoka said: Mimi naona wanaume ndo tunapeana sana mchongo ukizingatia unaweza ukampa connection mwanamke na akachoma kazi ukaonekana wewe na yeye wote mafala Click to expand... Kabisa mzee..
Joan lewis JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 993 Reaction score 1,463 Feb 16, 2023 #23 Hoffenheim said: Shida wanaume tumejaa tamaa ya ngono. Hii ndiyo inatufanya tuwape kipaumbele wanawake kuliko wanaume. Click to expand... Hapo pana shimo Refu lisilo na mwisho. Likisubiri kwa hamu kummeza mhusika. Be Hold. Be carefull men.
Hoffenheim said: Shida wanaume tumejaa tamaa ya ngono. Hii ndiyo inatufanya tuwape kipaumbele wanawake kuliko wanaume. Click to expand... Hapo pana shimo Refu lisilo na mwisho. Likisubiri kwa hamu kummeza mhusika. Be Hold. Be carefull men.
Joan lewis JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 993 Reaction score 1,463 Feb 16, 2023 #24 Soulja boy said: Kweli.thread za madem kuomba kaz watu wanatoa misaada hatar ila kidume mmh comment 2 afu za nenda kalime. Click to expand... Inasikitisha. Ila Finali ni Hum hum duniani.
Soulja boy said: Kweli.thread za madem kuomba kaz watu wanatoa misaada hatar ila kidume mmh comment 2 afu za nenda kalime. Click to expand... Inasikitisha. Ila Finali ni Hum hum duniani.