Naomba kujua utaratibu wa kufanya umachinga Mbezi Stendi

Naomba kujua utaratibu wa kufanya umachinga Mbezi Stendi

Lilian Gerald

Member
Joined
Dec 3, 2022
Posts
9
Reaction score
3
Kama mtu yeyote anayefanya biashara ya umachinga stand ya mabasi ya Mbezi mwisho? Naomba kujua utaratibu upoje, muda mzuri wa kuanza umachinga ni saangapi?

Natanguliza shukrani. [emoji120]
 
Back
Top Bottom