Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Heshima mbele wakuu,
naomba kujua utaratibu wa kupata mafao yako kupitia mfumo wa FAO LA KUJITOA. Je inchukua mda toka tarehe ya
kuacha kazi.
Coz nimeacha kazi hivi karibuni na nataka mkwanja huo unisaidie mtaani kwa issue nyingine kuna kama 4.5 ml hivi.
Heshima mbele wakuu.
naomba kujua utaratibu wa kupata mafao yako kupitia mfumo wa FAO LA KUJITOA. Je inchukua mda toka tarehe ya
kuacha kazi.
Coz nimeacha kazi hivi karibuni na nataka mkwanja huo unisaidie mtaani kwa issue nyingine kuna kama 4.5 ml hivi.
Heshima mbele wakuu.