wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Umesoma ulichoandika?Manual inaboa sana Barbara zetu hizi za foleni kali kama Dar
Ila barabara kama haina foleni sana ni fresh sana, automatic ni chaguo bora zaidi kwa RAV 4 sababu ya kusevu mafuta kwenye foleni ukilinganisha na manual.
Kiundani, RAV 4 manual inatumia mafuta vizuri sana na inadumu sana. Vifaa vyake vinapatikana kwa urahisi. Wengine watajazia...