Naomba kujua utofauti uliopo kati ya gari "manual" na "automatic" kifaida na kihasara. Na pia naomba kujua kiundani kidogo dondoo za RAV 4 manual

Umesoma ulichoandika?
 
Chai
 
Manual kwenye foleni mbona raha sana.
Unaweka free, unapachika handbreak, unatulia.
Foleni inasogea, namba moja pap! Unatoa hand break, mambo yanakwenda! Safi Sanaa!!
 
Mambo yanabadilika nadhani siku za karibuni gari manual zitaacha kuzalishwa.

Kama kwenye trucks (gari kubwa) wanaleta auto basi muda si mrefu manual zitapotea kabisa.
 
Nimekusoma mkuu, santi sana.
 
Manual gearbox unaongoza mwenyewe gari iwe kwenye gia ipi..!

Automatic gearbox gari inaangalia gia kutokana mazingira na range uliyoipa..!

Faida zake.. Kama wadau walivyosema huko juu..
Bei ya gari mpya Manual inakuwa ndogo kuliko Automatic..
Manual utasave mafuta..
Manual ni fun kuendesha..
Manual gari battery low unaisukuma inawaka..
Manual gearbox itaishi muda mrefu zaidi..
Ukitaka kufungua driving school utahitaji gari manual..

Manual ni gari za car enthusiasts..! Unakuwa na full control ya gari..!

Technology inabadilika.. Hata manual cars zimebadilika.. Zamani 4-speed sasa hivi kuna 7-speed..!
 


Nlikua mitaa ya watu wa hali za kawaida na kishua a town closer to london (45 minutes from London, kote napajua) na gari walizokua wanatumia wengine za kawaida and Yes they were manual na wengi hupendelea manual sijasema mahala popote automatic hazikuwepo zipo nyingi ila i was suprised baadhi ya watu still kupenda kutumia manual kwa nchi iliyo endelea kama ile.

Nimekaa miaka 4 kule nikipiga kitabu less than 8 years ago.
 
Kwa jinsi ulivyosema ni kama hizi AUTO kwao si lolote ndio maana nikakuuliza hivyo mkuu.
Hapo umeweka sawa, kwamba bado kuna watu wanazipenda.
 
Kama hautaki kutoa gari si unamwambia tu mtu kwamba mimi hua siazimishi mtu gari mzee...akikumaindi achukue time yake...
Yes, unamnyookea tu mtu moja kwa moja.

Sio unampatia mtu kisha unabaki kusemasema pembeni.

Binafsi huwa sipendagi kuazima vitu vya watu (vice versa is true).


JESUS IS LORD!
 
Kwa hio Australia na kwenyewe Ni Africa sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…