Suzuki Carry
Habari zenu!
Naomba kujulishwa uwezo wa suzuki carry a.k.a kirikuu:
1. Uwezo wa kubeba(maximum weight).
2. Nguvu yake kwenye mchanga,matope,utelezi,miinuko n.k. (pulling).
3. Je inaweza rough roads hasa mikoa isiyokuwa na milima mikali au maeneo yenye miinuko ya wastani.
4. Upatikanaji wa spares.
5. Generation zake na ubora wa kila uzao?
Na mengine mengi.
Asanteni!