Naomba kujua vigezo walivyotumia AZAM MEDIA kugawa tuzo kwa watu hawa

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa

Mimi naomba kujua azam alitumia vigezo gan had akina wema wakapata tuzo

Je, kulikuwa na upigaj wa kula ama kulikuwa na nini

Je, wema ana filamu gan kwa sasa sokon had akapata tuzo?

Vipi kuhusu gabo naye ana filam gani mpya kwa sasa?

Na wengine weng waliopata

Je, Azam wametumia vigezo gan kuwapa tuzo washind wa tuzo zao?

Je, walikuwa wanaangalia dini ya mhusika kuwa ni muislam au mkristo ndo apate tuzo au walikuwa wanaangalia nini? Naomba kujua

LONDON BOY
 
Dogo inavoonekana kwenu hakuna kisimbuzi cha Azam
 
Ulitangazwa lin na wapi na nan alipiga kura
Huyu ni jamaa yangu aliniomba nimpgie kura. Mashindano mengi unaweza usiyasikie au kujua pale yanapoanz ila utakuja kuyasikia yanapofikia kilele.
 

Attachments

  • 20180403_125712.png
    56.7 KB · Views: 59
Walikua wanaangalia wowowo umenielewa !! Usiniulize about Gabo [emoji15]
 
Kiukweli mimi ni mmoja wa watu walioshangazwa na matokeo ya tuzo hizo. Wameshindwa hata kumpa majuto tuzo ya heshima kwa mchango wake kwenye tasnia hii.
Hebu mwenye kujua vigezo vilivyotumika watujuze tuelewe wote
 
Kiukweli mimi ni mmoja wa watu walioshangazwa na matokeo ya tuzo hizo. Wameshindwa hata kumpa majuto tuzo ya heshima kwa mchango wake kwenye tasnia hii.
Hebu mwenye kujua vigezo vilivyotumika watujuze tuelewe wote
Umeeambiwa tuzo ndio mara ya mwisho kufanyika? Au ilikuwa ni lazima apewe mwaka huu? Wanaweza wakampa hata mwakani au mwaka kesho kutwa.
 
Nilipoona nabii mswahili hajachukua tuzo wakati anastahili nikajua zile tuzo zimeandaliwa na kigenge flani cha wahuni toka azam
Nabii Mswahili huwa hata simwelewi, angechukua Ungo wa azam ningeutupa
 
Mi naona tuandae tuzo za jamii forum afu member ndo tupige kura
 
Kiukweli mimi ni mmoja wa watu walioshangazwa na matokeo ya tuzo hizo. Wameshindwa hata kumpa majuto tuzo ya heshima kwa mchango wake kwenye tasnia hii.
Hebu mwenye kujua vigezo vilivyotumika watujuze tuelewe wote
Majuto wampe kwa jipya lipi?... TUZO ZA HURUMA siku hizi hamna.
 
Mkuu walikuwa wanatangaza kwenye TV na ni kwa kupiga kura, kama huna Azam TV huwezi jua.

Ila tatizo tunafuatilia sana wakorea ndyo maana hatujui kinachoendelea bongo movie, kwa sababu bongo movie wanazingua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…