Naomba kujua vigezo walivyotumia AZAM MEDIA kugawa tuzo kwa watu hawa


Vigezo vilivyo tumika kumpatia Award huyo Lupita Nyongo sio vile walivyo tumia Azam, kigezo cha kwanza cha azam kilikuwa ni umiliki wa filamu husika tena lazima iwe imesanyiliwa COSSOTA NA BASATA kigezo cha pili kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…