Yaani wewe ukinikuta nipo jikoni utakimbia wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Aisee kuandika itakua mtihani ila ngoja nijaribu,
Nyama yako ikiwa mbichi ioshe vizuri, weka chumvi, limao, Tangawizi au Thom au vyote (i prefer thom pekee)
weka jikoni ichemke hadi iive, wakati unasubiri nyama iive anza kuandaa viungo,
Kitunguu,
Nyanya, (unaweza kusaga au ukakata tu)
Karoti, (unaweza kusaga au ukakata tu)
Hoho,
Thom iliyopondwa kwa kinu(inakua fresh) ni bora kuliko ya unga.
Ninavyopika sasa hehehe culture gal akiwa jikoni kama najiona vile.... lol.
Nyama ikiwa haina mifupa wala huna haja ya kubadili sufuria, weka mafuta kidogo sana kama haina mafuta nyama,
Tupia kitungua maji kaanga kiasi hua sipendi ule utaratibu mpk kiwe cha brown,
tupia karot, hoho na thom.... endelea kukaanga nyama na viungo vyako kiasi kisha weka nyanya pmj na unga wa Curry powder kama kijiko kimoja cha chai au viwili kutegemea na upendavyo, tupia na unga wa birian masala kama nusu kijiko cha chai hivi kuongezea ladha.... endelea kukaanga mpk nyanya ziive, (nyanya ziache mpk zianze kushika chini maana ukiwahi kuongeza maji zitakua bado mbichi na kuharibu ladha ya mchuzi wako)
Tupia pilipili kama ni mpenzi kama sio waweza kuacha maana hata curry ina ladha ya pilipili kwa mbaali.
Utaweka maji kiasi ni vema kuacha mchuzi mzito kuliko chururu kama wa kipemba (lol am sorry wapemba).
kisha epua mchuzi wako tayari kwa kuliwa iwe chapati, wali, maandazi, tambi au ugali.
Same procedure na samaki.
Lol, unapika bila nguo nini?? hahahaYaani wewe ukinikuta nipo jikoni utakimbia wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mi ni mwanaume lakini nipo vizuri sana jikoni, napika na nguo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lol, unapika bila nguo nini?? hahaha
Siku moja tushindane, tuone nani mkali kwa jikoni.Mi ni mwanaume lakini nipo vizuri sana jikoni, napika na nguo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Weka picha plseNunua Curry powder ile ya Zanzibar masala ukiweka na Birian masala (ya zanzibar) kidoogo weee mbona utang'ata vidole.
Aisee mchuzi bila curry powder na thom (vitunguu saum) hua haupandi kabisaaa nitajilazimisha tu.
Itapendeza sana sema tuanze na nini? Mi viungo nilikuwa nauza mwenyeweSiku moja tushindane, tuone nani mkali kwa jikoni.
Cooks battle itapendeza zaidi.[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku moja tushindane, tuone nani mkali kwa jikoni.
wewe tu aiseee.... sasa siku hizi umeacha kuuza viungo??Itapendeza sana sema tuanze na nini? Mi viungo nilikuwa nauza mwenyewe
Cooks battle itapendeza zaidi.[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niliuza mwaka 2002 nilipomaliza shule, kwa kweli ni moja ya biashara inayolipa kwa Zanzibar hasa kipindi cha Ramadhan au karibu na sikukuu zotewewe tu aiseee.... sasa siku hizi umeacha kuuza viungo??
Nipe maujuzi bhana... huenda nikaifanya kwa huku bara.Niliuza mwaka 2002 nilipomaliza shule, kwa kweli ni moja ya biashara inayolipa kwa Zanzibar hasa kipindi cha Ramadhan au karibu na sikukuu zote
Kama unataka kuifanya kwa huku bara sio mbaya, nenda kanunue viungo vyote kuanzia kilo, then uje ufunge kwenye ile mifuko, kwa bei ya 500 tu kwa kimfuko, vinalipa.Nipe maujuzi bhana... huenda nikaifanya kwa huku bara.
Santeeeee, ngoja nifanye hivyo aiseee naitafutia package nzuuuuri.Kama unataka kuifanya kwa huku bara sio mbaya, nenda kanunue viungo vyote kuanzia kilo, then uje ufunge kwenye ile mifuko, kwa bei ya 500 tu kwa kimfuko, vinalipa.
PoaSanteeeee, ngoja nifanye hivyo aiseee naitafutia package nzuuuuri.
Habari ya wakati huu.
Wakuu, najifunza kupika baada ya kuamua kupunguza kula migahawani.
Naomba kujua viungo au namna tofauti tofauti za kupika nyama au samaki. Namaaniaha viungo vya kuweka kwenye mchuzi wa nyama iwe nzuri zaidi.
Najua kupika nyama ile kawaida, kuweka nyanya, karoti, pilipili hoho, kitunguu na chumvi. Ila hua nakula migahawani nyama inanukia vizuri na inaladha nzuri, naambiwa umewekewa viungo tofauti tofauti.
Naomba kufundishwa au kuelekezwa viungo vya kupikia nyama au samaki.
Ahsanteni sana.