Naomba kujua viungo tofauti vya kuweka kwenye nyama au samaki

Viungo vizuri vya kuweka kwenye mchuzi wa nyama au samaki ni;
Hoho
Karoti
Vitunguu {Thomu + maji}
Tangawizi
Uzile {binzari nyembamba}
Hiliki
Mdalasini
Au ukipata pilau + biriani masala ni vizuri zaidi.

Naogopa kukukaribisha kwangu utakuwa huondoki wewe
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Yaani wewe ukinikuta nipo jikoni utakimbia wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Yaani wewe ukinikuta nipo jikoni utakimbia wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Lol, unapika bila nguo nini?? hahaha
 
Nunua Curry powder ile ya Zanzibar masala ukiweka na Birian masala (ya zanzibar) kidoogo weee mbona utang'ata vidole.

Aisee mchuzi bila curry powder na thom (vitunguu saum) hua haupandi kabisaaa nitajilazimisha tu.
Weka picha plse
 
Kama unataka kuifanya kwa huku bara sio mbaya, nenda kanunue viungo vyote kuanzia kilo, then uje ufunge kwenye ile mifuko, kwa bei ya 500 tu kwa kimfuko, vinalipa.
Santeeeee, ngoja nifanye hivyo aiseee naitafutia package nzuuuuri.
 

Uwekaji wa viungo ktk nyama na samaki kunategemea na namna upishi wa hicho chakula. Labda ungetueleza unataka hivyo viungo kwa ajili ya upishi upi wa samaki au nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…