jackline sembo
Member
- Jan 28, 2014
- 8
- 2
nina mdogo wangu ambaye kahitimu kidato cha nne mwaka jana na alikuwa anasoma masomo ya art kapata kama ifuatavyo kiwahili C biosD history D geography D english D civics E mathe F anaweza akaenda chuo gani ambacho ni kizuri?