Bolingo Ya Telephone
Senior Member
- Jun 29, 2020
- 114
- 116
Wakuu naomba kujua wilaya gani ni nzuri zaidi kwenye kilimo cha zao la mahindi katika mkoa wa Morogoro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu,ahsanteMahindi,Maharage na Alizeti yanastawi sehemu yoyote ile duniani iwe kwenye joto au baridi kikubwa kuwe na mvua za kutosha tu
Jibu swali mkuu! Mwenzetu anataka kujua wilaya inayozalisha mahindi kwa wingi katika mkoa wa Morogoro!Mahindi,Maharage na Alizeti yanastawi sehemu yoyote ile duniani iwe kwenye joto au baridi kikubwa kuwe na mvua za kutosha tu
Achana na tittle nenda kwenye OPJibu swali mkuu! Mwenzetu anataka kujua wilaya inayozalisha mahindi kwa wingi katika mkoa wa Morogoro!
Wilaya za Mvomero, Gairo na Kilosa kidogo.
Ila kama ungekuwa unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha Mahindi ungeangalia nje ya Morogoro Mkuu. Ukilima Mkoa wa Ruvuma, Sumbawanga au Songwe utavuna marambili ya kile utakachopata Moro. Hongera kwa kuangazia Kilimo mkuuAhsante sana Mkuu
Ila kama ungekuwa unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha Mahindi ungeangalia nje ya Morogoro Mkuu. Ukilima Mkoa wa Ruvuma, Sumbawanga au Songwe utavuna marambili ya kile utakachopata Moro. Hongera kwa kuangazia Kilimo mkuu
Wilaya za Mvomero, Gairo na Kilosa kidogo.
Ahsante sana MkuuIla kama ungekuwa unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha Mahindi ungeangalia nje ya Morogoro Mkuu. Ukilima Mkoa wa Ruvuma, Sumbawanga au Songwe utavuna marambili ya kile utakachopata Moro. Hongera kwa kuangazia Kilimo mkuu
Nenda Turiani, vijiji kama Mziha, Kanga, Kibati etcAhsante sana Mkuu wangu. Naomba kuuliza tena,Mvomero ni sehemu gani kunakopatikana mashamba makubwa ya kukodisha? Naomba unitajie kwa majina kwamfano kijiji,kata au hata tarafa ili siku nikifika pale Mvomero nijue pakuelekea moja kwa moja.
Nenda Turiani,vijiji kama Mziha,Kanga,Kibati etc
Ila wilaya inayoongoza kwa kilimo cha mahindi ni Gairo.
Hivyo vijiji vina ushirikina sana..Nenda Turiani,vijiji kama Mziha,Kanga,Kibati etc
Ila wilaya inayoongoza kwa kilimo cha mahindi ni Gairo.
Yaah,hujakosea.Hivyo vijiji vina ushirikina sana..
Hapa kwenye ushauri wako naona kama kunakitu hakipo sawa,kikubwa ni kanuni bora za kilimo,kama utatumia mbolea kama wafanyavyo mikoa ulioitaja,hata akilimia Tanga atapata maradufu kwani hii ndio utofauti wa kilimo uliopo Kati ya nyanda za juu kusini na maeneo mingine.Maeneo mengi ya nchi hawatumii mbolea wakidai ardhi yao bado iko vizuri jambo ambalo si kweli.Ila kama ungekuwa unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha Mahindi ungeangalia nje ya Morogoro Mkuu. Ukilima Mkoa wa Ruvuma, Sumbawanga au Songwe utavuna marambili ya kile utakachopata Moro. Hongera kwa kuangazia Kilimo mkuu