pakapori
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 536
- 626
Habari za wakati huu, naimani ni wazima bukheri wa afya na mungu anaendelea kutupigania kila iitwapo leo.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa kuhusiana na kipindi hiki cha mavuno.
Nia na dhumuni ni kutaka kuingia kwenye soko la mavuno hususani mpunga yaani kwenda kununua mazao kwa wakulima moja kwa moja.
Kwa yeyote anaejua mpunga mzuri unapopatikana, bei ya mpunga, changamoto zilizopo. Mtaji mzuri ni kuanzia kiasi gani cha fedha.
Kwa kifupi nahitaji mwanga juu ya hii biashara, kwa yeyote mwenye ufahamu au muhusika wa hii biashara naomba muongozo tafadhali na ikiwezekana tuwasiliane PM kabla sijachelewa.
Ahsanteni..,
Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa kuhusiana na kipindi hiki cha mavuno.
Nia na dhumuni ni kutaka kuingia kwenye soko la mavuno hususani mpunga yaani kwenda kununua mazao kwa wakulima moja kwa moja.
Kwa yeyote anaejua mpunga mzuri unapopatikana, bei ya mpunga, changamoto zilizopo. Mtaji mzuri ni kuanzia kiasi gani cha fedha.
Kwa kifupi nahitaji mwanga juu ya hii biashara, kwa yeyote mwenye ufahamu au muhusika wa hii biashara naomba muongozo tafadhali na ikiwezekana tuwasiliane PM kabla sijachelewa.
Ahsanteni..,