Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Hizo Lexus Ls bei zake, zimechangamka haswaa hapo ujakutana na rafiki zetu TRA. Naona zenyewe zimeondolewa hata ile limit ya 180.. zinagonga hadi 300Kama unapenda huo mnyama, basi chungulia na Lexus LS460. Karibu vitu vyote ulivyovitaja hapo kwenye Majesta kule kwenye LS460 vinakuwa standard.
Ila kwenye ulaji wa mafuta hapo kasome vizuri. Itakuwa umesoma MPG. Kawaida lita moja huwezi zidi km 8 kwenye 3UZ. Labda sijui uendesheje aise.
LC V8 mbona tunamsumbua vizuri tu hata na visaluni vyetu vya kawaida mkuu. Shida kwenye bumps tu ndio tunatia heshima.
Kwa kweli msimu huu jamaa wamechangamka saana. Unawezajikuta unawaachia mzigo bandarini.Hizo Lexus Ls bei zake, zimechangamka haswaa hapo ujakutana na rafiki zetu TRA. Naona zenyewe zimeondolewa hata ile limit ya 180.. zinagonga hadi 300
Kununua gari kama hiyo inabidi ujipange , uwe na pesa yote cash. Kama moja hapa nimeingilia TRA chao peke yao ni million 20 ++, gari yenyewe ni million 52 ++.. πππ. Kwa haraka haraka hapo uwe na 100+ cash πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈKwa kweli msimu huu jamaa wamechangamka saana. Unawezajikuta unawaachia mzigo bandarini.
Hehehee! Sio mchezo. Ndio maana sio nyingi mtaani. Ila hayo madude ni mkataba. Very reliable.Kununua gari kama hiyo inabidi ujipange , uwe na pesa yote cash. Kama moja hapa nimeingilia TRA chao peke yao ni million 20 ++, gari yenyewe ni million 52 ++.. πππ. Kwa haraka haraka hapo uwe na 100+ cash πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Ndio maana na bei zake nazo zipo juu ππ.Hehehee! Sio mchezo. Ndio maana sio nyingi mtaani. Ila hayo madude ni mkataba. Very reliable.
Hehehee! Karibu TZS 360m kwa FOB, sipati picha balaa lake. Hilo lazima ukimbie. Kwanza kulitoa Japan tu lazima uwe vizuri balaa.Ndio maana na bei zake nazo zipo juu ππ.
Hakuna kizuri ukute bei ya kawaida. Hybrid zake naona zimesimama hatari. Hizi nyingi huenda zipo ulaya.
Angalia hii ya kwenye link. Kununua hii ni sawa na kitafuta mgogoro tu na TRA
Used 2017 LEXUS LS F SPORTS/DAA-GVF55 for Sale BG467314 - BE FORWARD
View attachment 1695820
Ila mwenyewe si umeona chombo kilivyo simama πππ. Hapo hata mwenye li V8 kwa luxury ya ndani na mwendo akasomeHehehee! Karibu TZS 360m kwa FOB, sipati picha balaa lake. Hilo lazima ukimbie. Kwanza kulitoa Japan tu lazima uwe vizuri balaa.
Yaani hapo kwa kweli halitii mguu. Shida ni barabara zetu. Hizo gari za chini ni nzuri saana, lakini kwa barabara zetu daa ni mateso saana.Ila mwenyewe si umeona chombo kilivyo simama πππ. Hapo hata mwenye li V8 kwa luxury ya ndani na mwendo akasome
Ndio bei ya shockup za crown mkuuπ wala hutakiwi kushangaa, Crown ni gari za viwango hamna shockup za kupanga mabanzi humo kama landrover au landcruiser! Humo ni mineso ya umeme mwanzo mwisho πππspare parts hapo ndipo wajapani wanapotupigaga napo....huchelewi kuambiwa shock-up laki nane...
Hii gari iko on Par na gari za kijerumani kwenye upande wa Maintanance japo magonjwa yake sio ya hapo kwa papo. Ila itakula hela zaidi kwenye kulihudumiaAu ikizingua sensor huchelewi kuambiwa milioni.....
Ndio bei ya shockup za crown mkuu[emoji23] wala hutakiwi kushangaa, Crown ni gari za viwango hamna shockup za kupanga mabanzi humo kama landrover au landcruiser! Humo ni mineso ya umeme mwanzo mwisho [emoji16][emoji16][emoji16]
Hii gari iko on Par na gari za kijerumani kwenye upande wa Maintanance japo magonjwa yake sio ya hapo kwa papo. Ila itakula hela zaidi kwenye kulihudumia
Hahahah nawasubiriSubiri wajerumani wa JF waje kukufokea hapa kwa hasira mzee.
Kama unapenda amani ya moyo, usinunue gari mkononi mwa mtu hasa mmbongo, wachache sana waaminifu, na wana weza wakakuambia ukweli wa gariKule kupatana.com iko majesta inauzwa 10.5mil no. C na hapo lazima itapungua tu.
Ningekua nakaa huko mkoani ningemvua huyo jamaa,shida kwa hapa Dar jini hilo halitanifaa.
πππ πππ wajerumani ambao gari zao ni bei sawa na Crown used, alafu wanamponda mwenzao. BMW nyingi na hizo benz used za humu bongo wala haziachani sana bei na gari za mjapan.. sema watu wananunua mjapana kwa mapenzi na kuangalia mambo yanayo weza msaidia. Anaemiliki Crown hawezi Shindwa BMW au Volkswage hata benz.. kuanzia unyonyaji wa wese, hata servicesSubiri wajerumani wa JF waje kukufokea hapa kwa hasira mzee.
Kuna jamaa nilimshauri achukue Forester 2nd gen badala ya X3 1st gen akabaki ananishangaa.πππ πππ wajerumani ambao gari zao ni bei sawa na Crown used, alafu wanamponda mwenzao. BMW nyingi na hizo benz used za humu bongo wala haziachani sana bei na gari za mjapan.. sema watu wananunua mjapana kwa mapenzi na kuangalia mambo yanayo weza msaidia. Anaemiliki Crown hawezi Shindwa BMW au Volkswage hata benz.. kuanzia unyonyaji wa wese, hata services
Kama unapenda amani ya moyo, usinunue gari mkononi mwa mtu hasa mmbongo, wachache sana waaminifu, na wana weza wakakuambia ukweli wa gari
Kabisa yaani. UN na pesa zao zote za Bank ya Dunia bado wanatumia Toyota, itakuwa sisi!Magonjwa ya toyota yanatibika kwa uhakika,gari nisilo weza kununua mkononi kwa mtu ni hizo bmw,vw,audi.
Ni kwa hybrid engine, injini za kawaida ni 9-12.5 kutegemea na injini.LJ BLOG,
Kama hili dude linaenda kilometa 19 kwa lita moja bas ist itaenda kilometa 40 kwa lita moja