Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

Kama unapenda huo mnyama, basi chungulia na Lexus LS460. Karibu vitu vyote ulivyovitaja hapo kwenye Majesta kule kwenye LS460 vinakuwa standard.

Ila kwenye ulaji wa mafuta hapo kasome vizuri. Itakuwa umesoma MPG. Kawaida lita moja huwezi zidi km 8 kwenye 3UZ. Labda sijui uendesheje aise.

LC V8 mbona tunamsumbua vizuri tu hata na visaluni vyetu vya kawaida mkuu. Shida kwenye bumps tu ndio tunatia heshima.
Hizo Lexus Ls bei zake, zimechangamka haswaa hapo ujakutana na rafiki zetu TRA. Naona zenyewe zimeondolewa hata ile limit ya 180.. zinagonga hadi 300
 
Hizo Lexus Ls bei zake, zimechangamka haswaa hapo ujakutana na rafiki zetu TRA. Naona zenyewe zimeondolewa hata ile limit ya 180.. zinagonga hadi 300
Kwa kweli msimu huu jamaa wamechangamka saana. Unawezajikuta unawaachia mzigo bandarini.
 
Kwa kweli msimu huu jamaa wamechangamka saana. Unawezajikuta unawaachia mzigo bandarini.
Kununua gari kama hiyo inabidi ujipange , uwe na pesa yote cash. Kama moja hapa nimeingilia TRA chao peke yao ni million 20 ++, gari yenyewe ni million 52 ++.. 😀😀😀. Kwa haraka haraka hapo uwe na 100+ cash 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Kununua gari kama hiyo inabidi ujipange , uwe na pesa yote cash. Kama moja hapa nimeingilia TRA chao peke yao ni million 20 ++, gari yenyewe ni million 52 ++.. 😀😀😀. Kwa haraka haraka hapo uwe na 100+ cash 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
Hehehee! Sio mchezo. Ndio maana sio nyingi mtaani. Ila hayo madude ni mkataba. Very reliable.
 
Hehehee! Sio mchezo. Ndio maana sio nyingi mtaani. Ila hayo madude ni mkataba. Very reliable.
Ndio maana na bei zake nazo zipo juu 😀😀.
Hakuna kizuri ukute bei ya kawaida. Hybrid zake naona zimesimama hatari. Hizi nyingi huenda zipo ulaya.
Angalia hii ya kwenye link. Kununua hii ni sawa na kitafuta mgogoro tu na TRA

Used 2017 LEXUS LS F SPORTS/DAA-GVF55 for Sale BG467314 - BE FORWARD
BH749076_c412b8.jpg
 
Hehehee! Karibu TZS 360m kwa FOB, sipati picha balaa lake. Hilo lazima ukimbie. Kwanza kulitoa Japan tu lazima uwe vizuri balaa.
Ila mwenyewe si umeona chombo kilivyo simama 😀😀😀. Hapo hata mwenye li V8 kwa luxury ya ndani na mwendo akasome
 
spare parts hapo ndipo wajapani wanapotupigaga napo....huchelewi kuambiwa shock-up laki nane...
Ndio bei ya shockup za crown mkuu😂 wala hutakiwi kushangaa, Crown ni gari za viwango hamna shockup za kupanga mabanzi humo kama landrover au landcruiser! Humo ni mineso ya umeme mwanzo mwisho 😁😁😁
 
Ndio bei ya shockup za crown mkuu[emoji23] wala hutakiwi kushangaa, Crown ni gari za viwango hamna shockup za kupanga mabanzi humo kama landrover au landcruiser! Humo ni mineso ya umeme mwanzo mwisho [emoji16][emoji16][emoji16]

Kule kupatana.com iko majesta inauzwa 10.5mil no. C na hapo lazima itapungua tu.

Ningekua nakaa huko mkoani ningemvua huyo jamaa,shida kwa hapa Dar jini hilo halitanifaa.
 
Kule kupatana.com iko majesta inauzwa 10.5mil no. C na hapo lazima itapungua tu.

Ningekua nakaa huko mkoani ningemvua huyo jamaa,shida kwa hapa Dar jini hilo halitanifaa.
Kama unapenda amani ya moyo, usinunue gari mkononi mwa mtu hasa mmbongo, wachache sana waaminifu, na wana weza wakakuambia ukweli wa gari
 
Subiri wajerumani wa JF waje kukufokea hapa kwa hasira mzee.
😀😀😀 😀😀😀 wajerumani ambao gari zao ni bei sawa na Crown used, alafu wanamponda mwenzao. BMW nyingi na hizo benz used za humu bongo wala haziachani sana bei na gari za mjapan.. sema watu wananunua mjapana kwa mapenzi na kuangalia mambo yanayo weza msaidia. Anaemiliki Crown hawezi Shindwa BMW au Volkswage hata benz.. kuanzia unyonyaji wa wese, hata services
 
😀😀😀 😀😀😀 wajerumani ambao gari zao ni bei sawa na Crown used, alafu wanamponda mwenzao. BMW nyingi na hizo benz used za humu bongo wala haziachani sana bei na gari za mjapan.. sema watu wananunua mjapana kwa mapenzi na kuangalia mambo yanayo weza msaidia. Anaemiliki Crown hawezi Shindwa BMW au Volkswage hata benz.. kuanzia unyonyaji wa wese, hata services
Kuna jamaa nilimshauri achukue Forester 2nd gen badala ya X3 1st gen akabaki ananishangaa.
 
Back
Top Bottom