Naomba kujua

Naomba kujua

analgesic

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
719
Reaction score
1,112
Wadau wale wenye uelewa na hili mnisaidie kufaham, hivi pale unapoachishwa kazi yale malipo anayotakiwa akulipe mwajili mwenyewe huwa yanakatwa kodi? Na je yale malipo ya Sikh huchukuliwa kutoka kwenye basic salary au gross salary?
 
Ndio yanakatwa kodi kwa kuwa ni mapato kwako. Kwa sheria ya kodi ya mapato pato lolote unalopata linatakiwa kulipiwa kodi. Malipo ya siku ni ile basic salary yako ndio inagawanywa kujuli kwa siku ulizotumika ulipwe shs ngapi.

Wadau wale wenye uelewa na hili mnisaidie kufaham, hivi pale unapoachishwa kazi yale malipo anayotakiwa akulipe mwajili mwenyewe huwa yanakatwa kodi? Na je yale malipo ya Sikh huchukuliwa kutoka kwenye basic salary au gross salary?
 
Ndio yanakatwa kodi kwa kuwa ni mapato kwako. Kwa sheria ya kodi ya mapato pato lolote unalopata linatakiwa kulipiwa kodi. Malipo ya siku ni ile basic salary yako ndio inagawanywa kujuli kwa siku ulizotumika ulipwe shs ngapi.
Poa
 
Back
Top Bottom