Bakulutu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2011 Posts 2,557 Reaction score 1,787 Jul 16, 2012 #1 Habari wana JF, Naomba kujua kuhusu kujiunga na Jeshi la wananchi (JWTZ), kwan ni muda kidogo sikuwepo humu jamvini. Cha muhimu naomba kujua kama tayari nafasi zilisha tolewa au bado na kama bado ni lini wataanza kukaribisha maombi. SHUKRANI.
Habari wana JF, Naomba kujua kuhusu kujiunga na Jeshi la wananchi (JWTZ), kwan ni muda kidogo sikuwepo humu jamvini. Cha muhimu naomba kujua kama tayari nafasi zilisha tolewa au bado na kama bado ni lini wataanza kukaribisha maombi. SHUKRANI.
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Jul 16, 2012 #2 Tulia,kuna wenzako kama 20000 nao wanazisubiri humu.