Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Huu ndo ukweli mtupu 100%. Tena nakazia hapo, kama lengo lake ni kwenda kufanya kazi Brazil basi atakuja kujuta maamuzi yake.
Kama hujasoma uzi wote usikimbilie kureply tafadhali
 
Sisi ngozi nyeusi mbona tunapenda kukatishana tamaa namna hii???mtu kauliza swali mwingine anajibu sijui vianzi vitamu imekuaje?mnachoshaga sana apo tu.ndakusaidia kimawazo njoo pm.japo sio mwenyeji huko lakini njia za chini nazimanya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom