jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Vizuri mkuu.Nenda barabara ya nyerere kuanzia Vingunguti hadi kipawa huwezi kosa. Au nenda Big brother pale mabibo utawakuta.
Tractor 3 za Howo zinanunua Tractor 1 ya Scania au M/ Benz
Kwa equivalent hiyo unaweza kutafuta Ubora wa howo.
Ni ka kama hesabu za vibox tuu
Siyakudumisa Thixo
Siyo vibaya kama wewe unaufahamu wa kutosha kuhusu hizi truck za mchina ukaweka information hapa,JF ni reference nzuri kwa watu wengi mkuu.Kuna dealer ningekupa namba yake..sasa kama uko kwenye utafiti basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwa mchango wako mkuu,je unaweza kujua bei ya horse mpya ya Howo?howo utaipenda ikiwa bado mpya haijaanza shida ,ila zikianza kusumbua kama kufanyia engine overhaul mara nyingi zinakuwa zinakataa ndio maana wenye kujiweza huwa wanafunga mashine mpya tofauti na scania au benz ukipiga overhaul inakuwa jiwe kweli , kiufupi howo ni gari ya biashara scania ni gari ya kazi au kama unazijua iveco euro
kwa wakala wa hizo howo naonaga pale tazara jirani na sophia house
$53000Shukrani kwa mchango wako mkuu,je unaweza kujua bei ya horse mpya ya Howo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni pamoja na kodi?$53000