jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Habari wakuu,
Naomba mwenye uelewa juu ya hizi malori ya kichina! HOWO kuhusu agent wake kwa hapa Tanzania (Brand new)! Ubora kulinganisha na scania, DAF, Mercedes. Bei, Service n.k anijuze hapa tafadhali.
Siyo mbaya kama atagusia pia na aina za trella na bei zake.
Wasalaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mwenye uelewa juu ya hizi malori ya kichina! HOWO kuhusu agent wake kwa hapa Tanzania (Brand new)! Ubora kulinganisha na scania, DAF, Mercedes. Bei, Service n.k anijuze hapa tafadhali.
Siyo mbaya kama atagusia pia na aina za trella na bei zake.
Wasalaam.
Sent using Jamii Forums mobile app