Habri waungwana,
Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na kukutana na mkono wa gavoo.
Pia taratibu au hatua za kufuata (kitaaluma na kitaalamu ) ili kuifanya iwe operationala na kupata wafuatiliaji wengi.
asante
Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na kukutana na mkono wa gavoo.
Pia taratibu au hatua za kufuata (kitaaluma na kitaalamu ) ili kuifanya iwe operationala na kupata wafuatiliaji wengi.
asante