kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Wewe uko sehemu ganiNahitaji kupata huduma ya kunyoa na scrub hapa jijini Mwanza. Naomba kujua Babershop yenye huduma nzuri zaidi.
Wewe uko sehemu gani
Mtaa wa Uhuru pale kuna Kazungu kamoja babershop ipo mkabala na Vizano hotel.Pia kuna 2 brothers babershop karibu na Lavena supermarket.
Nadhani umeshapewa location nzuri zaidiNiko mjini huku Victoria palace capripoint
Pita #HASFU kuna pisi za hatari ajabuNahitaji kupata huduma ya kunyoa na scrub hapa jijini Mwanza. Naomba kujua Babershop yenye huduma nzuri zaidi.