Naomba kujuzwa bei ya bati za ALAF

Sema majamaa wa Alaf washwahili sana, wakati napewa quotation niliambiwa siku 3 napata mzigo, sahivi wiki imepita napewa kalenda tu
 
Hazichuji hizi bati?, wengine tunapenda maji ya mvua kwa kunywa na kufulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…