Naomba kujuzwa Bei ya BMW X3 2008/2011 kwa mtu na sio Befowars wala Japanese dealers

Naomba kujuzwa Bei ya BMW X3 2008/2011 kwa mtu na sio Befowars wala Japanese dealers

Sheffer95

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2020
Posts
211
Reaction score
515
Habarini Wana jamvi,

Nilikuwa naulizia bei au gharama za kununua BMW X3 kwa mtu. Maana nikubali sana hii Mashine ya Mjerumani so naombeni kujuzwa ili nilifanikisha hili Inshallah
 
Shukran sana Sema ungenipa pros and Cons mapema ili nijue nalitake care vipi nikishanunua
 
Hizo gari sio za kununua mikononi mwa watanzania labda kama una historia nayo. It's better uipate iliyotoka nje moja kwa moja na ikiwa na low mileage ndio utaenjoy.
Unakuta ilipigwa spana na garage ya chini ya mwembe, ambayo spare za gari wanaita spear lazima dashboard ikufurahishe na taa kama mti wa krismasi
 
Habarini Wana jamvi,

Nilikuwa naulizia bei au gharama za kununua BMW X3 kwa mtu. Maana nikubali sana hii Mashine ya Mjerumani so naombeni kujuzwa ili nilifanikisha hili Inshallah
Kwa mtu Sasa tutajuaje Bei? Acha uswahili ingia mtandaoni uchukue chombo epukana na presha za madalali feki
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
Great
 
Back
Top Bottom