Naomba kujuzwa bei ya cherehani

Nitakutumia hapahapa bei na Duka, Una mtu unayemuamini wa kukununulia au utaifuata mwenyewe?

Au kama unajuana na mtu wa Raha Leo ni rahisi zaidi
Ahsante mkuu itakua vzr, mtu waifuatulia dar ninae , nikijua Bei na duka inakopatikana 🙏
 
Nitakutumia hapahapa bei na Duka, Una mtu unayemuamini wa kukununulia au utaifuata mwenyewe?

Au kama unajuana na mtu wa Raha Leo ni rahisi zaidi
Pia nitafuatilia Raha Leo mkuu naona itakua nzur zaid hio
 
Nilinunua 250k ya kawaida Kariakoo kabla haijaungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…