PresidentSalum
Senior Member
- Dec 3, 2006
- 189
- 21
Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?
Natanguliza shukrani.
Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?
Natanguliza shukrani.
Kumbe wewe ndio yule mbaka ng'ombe kwenye mazizi ya watu[emoji3]Mkuu mimi sina ndama ila nina ng'ombe mkubwa wa maziwa, kama vp nitafute PM nikupe ng'ombe wangu huyu mkubwa umkwichikwichi ww mwenyewe, akizaa uje uchukue ndama wako
HahahaaaNdama ana mimba mkuu? Mimi ninaelewa mtoto wa ngombe anaitwa ndama hasa kwenye kipindi chake cha kinyonya mpaka atakapp acha kunyonya na pindi atakapo ongezeka kwa kimo hatuta muita tena ndama
Mi ngombe ambae hajawahi zaa
Nashukuru wote kwa Majibu, lakini naona bado sijapata jibu la uhakika. Pls wale wanaotaka PM, nitashukuru sana kama mkiweka wazi hapa halafu hayo mambo mengine ya PM yatafuata. Asanteni. Bei ya ndama wa Maziwa ni kiasi gani na naweza kuwapata wapi ?
Kweli huyu ndio ndama ungeweka na kapichachalinze apa ni 15,000
umkwichikwichi ww mwenyewe😂😁😁😁😀Mkuu mimi sina ndama ila nina ng'ombe mkubwa wa maziwa, kama vp nitafute PM nikupe ng'ombe wangu huyu mkubwa umkwichikwichi ww mwenyewe, akizaa uje uchukue ndama wako
Ndama wa maziwa ni sawa na ndama wa ng'ombe wa maziwa au ni vitu viwili tofauti?Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?
Natanguliza shukrani.
Ndama wa maziwa ni sawa na ndama wa ng'ombe wa maziwa au ni vitu viwili tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndama Jike,Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?
Natanguliza shukrani.
Kweli huyu ndio ndama ungeweka na kapicha