Naomba kujuzwa bei ya ndama wa maziwa

Naomba kujuzwa bei ya ndama wa maziwa

Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?

Natanguliza shukrani
Kila mfugaji anabei yake kutokana na namna ndama wake alivyo hivyo ni vyema ukakutana na wafugaji wenyewe muweze kuongea hilo kwani inategemea pia huyo ndama Ana umri gani na ni wa Aina gani. Kwa dar wanapatikana kuanzia laki mbili na kuendelea
 
Wazima ? Ningependa kufahamu bei ya ndama wa maziwa kwa ajili ya ufugaji mkoani wa Dar, na upatikanaji wake upo vipi?

Natanguliza shukrani
Kila mfugaji anabei yake kutokana na namna ndama wake alivyo hivyo ni vyema ukakutana na wafugaji wenyewe muweze kuongea hilo kwani inategemea pia huyo ndama ana umri gani na ni wa aina gani. Kwa dar wanapatikana kuanzia laki mbili na kuendelea
 
Kuna jirani anauza ndama sh laki 8 karibia atapandwa
 
IMG_20200111_122558_9.jpg

Haka kadogosa nipe laki 5
 
Ndama ana mimba mkuu? Mimi ninaelewa mtoto wa ngombe anaitwa ndama hasa kwenye kipindi chake cha kunyonya mpaka atakapo acha kunyonya na pindi atakapo ongezeka kwa kimo hatuta muita tena ndama.

Mi ngombe ambae hajawahi zaa.
Mtambo au haifer
 
Nakushauri Sana Kama ndio unaanza kufuga ngombe Anza na ngombe mwenye mimba au mtamba akizaa utapata faida Mara 2 ,ndama na maziwa .
Ngombe anaweza kukamulia hata kwa mwaka mzima au akizaa akaa miezi 3/4 akabeba mimba na ukaendelea kumkamua kwa miezi 7 .

.ukinunua ndama utakaa naye miezi Karibia 18 ndio uje mpandishe na akae na mimba miezi 9 si Ni muda mrefu ?

Mtamba ana wastani wa Bei ya kuanzia 1.5m
Na ngombe ambaye amezaa Mara moja na awe na mimba Bei Ni kuanzia 1.7m Hadi 3m inategemea na Aina ya ngombe.
 
Ngombe Kama hawa wamezaa Mara na Wana mimba ...
IMG_20200903_181352_4.jpg
 

Attachments

  • IMG_20201227_182303_7.jpg
    IMG_20201227_182303_7.jpg
    83.7 KB · Views: 11
Back
Top Bottom