kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 400
- 513
Na hao ndio wanaongoza kuuliza bei ukimwambia kiasi hiki genuine na mpya atakuuliza na used yake bei gani sasa unabak unamshangaa unapenda used wakati aliyekuwa anaitumia kaichoka utaitumiaje na unaweza kukuta used na mpya zinatofautiana kidog tu lkn kwa sababu wameshakalilishwa used basi yeye ni kuchukua tuKweli kabisaa mkuu,ila watu hua wanaweka mpk brake pad used hapo ndio hua wananichanganya zaidi.