kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 400
- 513
Na hao ndio wanaongoza kuuliza bei ukimwambia kiasi hiki genuine na mpya atakuuliza na used yake bei gani sasa unabak unamshangaa unapenda used wakati aliyekuwa anaitumia kaichoka utaitumiaje na unaweza kukuta used na mpya zinatofautiana kidog tu lkn kwa sababu wameshakalilishwa used basi yeye ni kuchukua tuKweli kabisaa mkuu,ila watu hua wanaweka mpk brake pad used hapo ndio hua wananichanganya zaidi.
Mrejesho: Nmefanikiwa kubadili plug zote nne kwa bei ya 25,000 kila plug. Jumla kuu 100,000/= Nmenunua Denso baada ya fundi kuniambia kuwa zinaendana na gari yangu (Suzuki swift 2002).Nimenunua duka moja lipo Sheikh Amri Abeid stadium kwa upande wa nyuma kama unaeleke CCM mkoa endapo unatoka kwenye yale mataa ya stendi......jamaa anaitwa Saka...Jirani yake kuna duka linaitwa Denso...nao wana bidhaa genuine za magari karibu yote ya kijapan... Pia waweza kwenda Arusha Art...
Kwenye shockup hapo hizo unazonunua sio genuine mkuu hizo ni from China genuine shockup kwa hizo 4 ulitakiwa kulipia kama milioni 3 kasoroMrejesho: Nmefanikiwa kubadili plug zote nne kwa bei ya 25,000 kila plug. Jumla kuu 100,000/=.
Nmenunua Denso baada ya fundi kuniambia kuwa zinaendana na gari yangu (Suzuki swift 2002).
Baada ya kubadili plug gari inachanganya vizuri tofauti na zamani.
Nmenunua bush pamoja na kuzifunga.
Bei ya bush 6 ni 180,000/=
Natakiwa kununua shock up mpya 4 kila moja 130,000/=.
Spare genuine ni ghali ila zinadumu sana.
Dah! Kumbe bado mkuu...genuine parefu aiseeKwenye shockup hapo hizo unazonunua sio genuine mkuu hizo ni from China genuine shockup kwa hizo 4 ulitakiwa kulipia kama milioni 3 kasoro
Bado sana mkuu shock up genuine zimesimama sana kiufup vitu genuine bei imesimama ila ukiweka umewekaDah! Kumbe bado mkuu...genuine parefu aisee
Plug umenunua za madini gani...?Mrejesho: Nmefanikiwa kubadili plug zote nne kwa bei ya 25,000 kila plug. Jumla kuu 100,000/=.
Nmenunua Denso baada ya fundi kuniambia kuwa zinaendana na gari yangu (Suzuki swift 2002).
Baada ya kubadili plug gari inachanganya vizuri tofauti na zamani.
Nmenunua bush pamoja na kuzifunga.
Bei ya bush 6 ni 180,000/=
Natakiwa kununua shock up mpya 4 kila moja 130,000/=.
Spare genuine ni ghali ila zinadumu sana.
Nmenunua Denso za Sindano ni Iridium materialPlug umenunua za madini gani...?
Platinum, Iridium au Copper...?
Na je ni zile za sindano au za kawaida...
Denso, NGK, Bosch are all ok...
Nmenunua Denso za Sindano ni Iridium material
Naona gari inachanganya fasta nadhani zitanisukumaOk...iridium zipo poa sana....
Sure, mi nimeenda Kwa dealer wa Toyota kaniuzia moja 15000 ni NGK. Wakasema nikitaka zinazokaa muda mrefu za iridium bei imesimama sana ila wao wameishiwa. Mimi vitu vinavyohusu engine nafunga originalSiku watu wakijua umuhimu wa vifaa vya magari yao nadhan wataachana na hii kasumba ya kununua vitu fake genuine spark plug ya Toyota bei inaanzia 15000 hapa kutegemeana na aina ya plug chini ya hapo hakuna plug hapo
Mi spea ya engine lazima nipate og tena ile ambayo ni bora kabisa sokoni kwa wakati huo. Vitu feki nitafunga labda shokapNa kweli atalia sana.....
Kuna kitu kinashangaza sana....
Mtu ananunua gari mathalani milioni 8, halafu anaweka plug za buku 5.....huu ni utaahira uliopitiliza....
Plug original za Toyota Denso haipungui elfu 20....
Sasa jiulize kutoka 20k mpaka elfu 5....
Ikumbukwe plug ndiyo inayofanya jiko la gari liwake
Kuna spea unaweza ukajibana ukaweka feki lakini si spea za sehemu nyeti.
Shokap ni mchina. Nikienda toyota shop, nilitajiwa bei ya shokap mbili za mbele ni sh.1300,000/=. Maana yake shokap 1 ni 650K. Kwa mantiki hiyo hizo shokap ulizonunua sio og mkuu.Mrejesho: Nmefanikiwa kubadili plug zote nne kwa bei ya 25,000 kila plug. Jumla kuu 100,000/=.
Nmenunua Denso baada ya fundi kuniambia kuwa zinaendana na gari yangu (Suzuki swift 2002).
Baada ya kubadili plug gari inachanganya vizuri tofauti na zamani.
Nmenunua bush pamoja na kuzifunga.
Bei ya bush 6 ni 180,000/=
Natakiwa kununua shock up mpya 4 kila moja 130,000/=.
Spare genuine ni ghali ila zinadumu sana.
Ni kweli mimi huwa nanunua spea kwa toyota branch Tz, shokap za gari yangu ndogo nilitajiwa moja sh.650,000. So, upo sahihi kabisaKwenye shockup hapo hizo unazonunua sio genuine mkuu hizo ni from China genuine shockup kwa hizo 4 ulitakiwa kulipia kama milioni 3 kasoro
Duh! Tuna safari ndefu kwa kweli.Shokap ni mchina. Nikienda toyota shop, nilitajiwa bei ya shokap mbili za mbele ni sh.1300,000/=. Maana yake shokap 1 ni 650K. Kwa mantiki hiyo hizo shokap ulizonunua sio og mkuu.
Sent from my Nokia 6.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ni kweli Mkuu..me nipo arusha huku za nissan nilinunua 35k kwa moja...zina mwaka Na miezi saba Sasa.tulizikagua juzi juzi utafikiria zimefungwa jana na nimeshasafiria safari ndefu mf Arusha to Dar.....me nashangaa mtu ananunua gari mfano milioni 8 then anafunga plug za buku mbili..
Brake pad unawekaje used sasa?🤣🤣🤣 Itoshe kusema kuwa vitu used ni kipengele jamani. Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu ambayo still nayanunua nusu ya bei ya tairi mpya maana kwangu sioni tofauti kwa ubora wa tyre mpya na used as long as mpira ni mzima na kashata bado mbichi! Hela ya tairi moja mpya naweza pata used tyres mbili ambazo ziko Order sana sababu mkoa niliopo vipuri vya gari bei ni kichaa.Kweli kabisaa mkuu, ila watu hua wanaweka mpk brake pad used hapo ndio hua wananichanganya zaidi.
Brake pad unawekaje used sasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Itoshe kusema kuwa vitu used ni kipengele jamani. Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu ambayo still nayanunua nusu ya bei ya tairi mpya maana kwangu sioni tofauti kwa ubora wa tyre mpya na used as long as mpira ni mzima na kashata bado mbichi! Hela ya tairi moja mpya naweza pata used tyres mbili ambazo ziko Order sana sababu mkoa niliopo vipuri vya gari bei ni kichaa.
Mie mipira napointi kwa sasa mwanzo nilinunua piru ila nikaona najila sana. Maana sioni tofauti kabisa ya kiatu used na kipya.'Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu'.
Hahah sasa hapo ndipo tunatofautiana mzee baba,tyre used siigusi hata kwa dawa niko so sensitive yaani hapo lazima nikamenye kitu kipyaa dukani.
Kwa hio mzee baba shock ups za gari yako(kama ni toyota) unaendaga kununua hizo za Tsh.650,000 per shock up sio?
Shock up za gari yangu hua naagiza za KYB brand ni za ukweli kinyamaaaa.
Fungua uzicheki, kwa magari mengi kazi ya kufungua plug ni rahisi sana. Dalili za kuchoka plug ni nyingi na pia zinafanana na dalili za magonjwa mengine ya gari. Dalili hizi ni kwa uchache ni misfire na gari kukosa nguvuHivi utajuaje Plug imeshachoka kwenye gari yako hivyo upaswe kuweka mpya?