Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Kwa anayejua bei yake tafadhali. Used na mpya, bei za zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo ndo changamoto maana linakuwa na kiu sanaHizi model mpya niz nzuri ila kuzipata ni mtihani sana na ukizipata ni 3.5ltr
Kama mpunga upo Chukua 3.5L 2gr-fxe hybrid hiyo engine hata isikutishe...Na hapo ndo changamoto maana linakuwa na kiu sana
Kama mpunga upo Chukua 3.5L 2gr-fxe hybrid hiyo engine hata isikutishe...
Hivi battery zile za hybrid hazisumbui ndani ya muda mfupi??
2002, ni 23,780,000/=Kwa anayejua bei yake tafadhali. Used na mpya, bei za zote.
Ndiyo inaeenda kwa bei gani mpaka kuitia mkononi?Kama mpunga upo Chukua 3.5L 2gr-fxe hybrid hiyo engine hata isikutishe...
Ukitaka SUV na pesa inasumbua usiguse Toyota utajuta kimbilia Mitsubishi huko
Mitsubishi Pajero bei zake zimepoa (17m-20m TZS) tofauti na Toyota SUV yoyoteMitsubishi outlander au pajero na kwa nini akimbilie huko?
Pajero ni ndoa ya kikristo hamna WA kuivunjaMitsubishi Pajero bei zake zimepoa (17m-20m TZS) tofauti na Toyota SUV yoyote
Hizo siti mbili zinakuwa sehemu ya mzigo?Seven seat Hadi 28 million KWA mpya ya japan
.used bongo 14-18
3.5ltr tafsiri yake nini?Hizi model mpya niz nzuri ila kuzipata ni mtihani sana na ukizipata ni 3.5ltr
Na ikichoka kuipata mpya bei gani?Kama unafuata taratibu zote za utunzaji hazisumbui....
Swali zuriNdiyo inaeenda kwa bei gani mpaka kuitia mkononi?
28m TZS. Wachumi tumejificha kwenye Mitsubishi Pajero.Swali zuri