Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Versatile nadhani hamna gauge 30. Zinaanzia gauge 28
21,500 kwa mita, geji 28..miezi minne iliyopitaJaman naomba mnisaidie kunijuza bei za mabati ya alaf versatile gauge30
Zile coloured za geji 28, za kawaida ni sh ngapi?21,500 kwa mita, geji 28..miezi minne iliyopita
Sijajua bei zake, ila kwa kukisia inaweza kuwa 14,000 mpaka 19,000 kwa mitaZile coloured za geji 28, za kawaida ni sh ngapi?
Mita moja 17,500
Alaf hawana Gauge 30. Wana G28, G26 na G24 tu.Jaman naomba mnisaidie kunijuza bei za mabati ya alaf versatile gauge30
Mzee wa "Natumaini mleta mada umepata mwongozo"Mleta mada fuata miongozo...
Sisi Uvimo Civil Group ni mawakala wa kampuni ya ALAF si wakuuza mabati Bali wa kupata taarifa na kuchukua mzigo kirahisi kutoka kwenye kampuni/kiwandani moja kwa moja...
Muongozo upi kaka kuna mahala nimeharibuMleta mada fuata miongozo...
nyinyi uvimo civil mnachukua kwa Alaf G30?Sisi Uvimo Civil Group ni mawakala wa kampuni ya ALAF si wakuuza mabati Bali wa kupata taarifa na kuchukua mzigo kirahisi kutoka kwenye kampuni/kiwandani moja kwa moja.
Malipo yote unafanya na kampuni, faida unayo pata uchukuapo chini ya Uvimo Civil Group ,mzigo utaupata kwa haraka kwa kuwa sisi ni wataalam wa kupaua so tunachukua mzigo kila wakati na kutupa nafasi ya kutambulika zaidi.
0753927572 -WhatsApp
0629361896
Kweli hata mwezi huu zimepanda bei tena [emoji22]Fanya kuwapigia maana bei zao hunadilika kila.mwezi
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar darasa la ujenzi. Tuna mpango wetu unaitwa "Nyumba kwa Wote", Tumelenga kwa nia njema kabisa ya kufanya mageuzi kwa ujenzi uliozoeleka Tanzania, tumelenga na tayari tunafanya ujenzi kuwa ni mwepesi sana kwa kila mwenye nia ya kujenga.Kweli hata mwezi huu zimepanda bei tena [emoji22]
Eh bei zao ni kama kinyonga tuKweli hata mwezi huu zimepanda bei tena [emoji22]