Naomba kujuzwa bei za mabati ya Alaf Versatile gauge 30

Naomba kujuzwa bei za mabati ya Alaf Versatile gauge 30

Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar darasa la ujenzi. Tuna mpango wetu unaitwa "Nyumba kwa Wote", Tumelenga kwa nia njema kabisa ya kufanya mageuzi kwa ujenzi uliozoeleka Tanzania, tumelenga na tayari tunafanya ujenzi kuwa ni mwepesi sana kwa kila mwenye nia ya kujenga.

Mpango wetu wa Nyumba kwa Wote, ujenzi wenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu, tunaachana kabisa na ujenzi wa kutumia mabati kama nyenzo kuu ya kuezekea nyumba. Tuna utaalaam wa kuunda vifaa vya ujenzi kwa kutumia vifaa tunavounda wenyewe kwenye kiwanda chetu kidogo, vifaa ambavyo vinaweza kuundwa hata kwenye site ya ujenzi ili kupunguza gharama za usafirishaji kwa mwenye kujenga. Kwa ujenzi wetu, hauna haja kabisa ya kutumia bati, ikibidi unataka kutumia bati basi litakua kwa mapambo tu.

Mpango wetu hauhusishi kuezeka tu, ni mpango kamili wa ujenzi unaoanzia kukupunguzia gharama kuanzia unapoanza kujenga msingi, kuweka sakafu, kunyanyua kuta, kuezeka. Kuezeka kwetu kutakupunguzia gharama kwa aina tatu au zaidi. Hauna haja ya mbao za bati, hauna haja ya mabati, hauna haja ya mbao za dari (blundering), hauna haja ya dari la gypsum boards na pia unaongeza thamani ya nyumba kwa kupata nafasi mpya, kiwanja kingine kipya juu ya nyumba yako, kwa maana kua sehemu (nafasi) yote ambayo ingepotea bure kwa mabo za dari na mbao za bati tunaiokoa na unaweza kuitumia. Unapata kiwanja kipya cha ujenzi juu ya kiwanja chako unachojenga.

Tafadhali poitia nyuzi zetu humu JF zinaelezea sana ujenzi wetu kwa kina na unaweza kutuuliza chochote upendacho. Pia yote tunayoyaandika unaweza kupata picha na video clips zake au unaweza kuja kujionea tulipokwisha jenga.

Ili kufupisha maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605, naitwa Abdul Ghafur.
Mngekuwa mnaweka na picha za mfano, wengine sie ni tomaso
Au hata page zenu za sosho media hivi
 
Mngekuwa mnaweka na picha za mfano, wengine sie ni tomaso
Au hata page zenu za sosho media hivi
Tunazo nyuzi humu tumeweka picha, ni vigumu kila uzi wa mtu tuweke picha zetu, pitia nyuzi zetu hizi, mma kama hazijatosha, tuandikie whatsapp tutakutumia picha, na upo huruu kuziweka kwenye mitandao:


 
Alaf Moja kati ya kampuni yenye customer care mbovu kabisa, kujua bei ya bidhaa zao ni mpaka uwe na connection, simu hazipokelewi [emoji57]
siyo kweli, ukiingia kwenye website yao kuna detail zote. tena unaweza kuoder kabisa mzigo online
 
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar darasa la ujenzi. Tuna mpango wetu unaitwa "Nyumba kwa Wote", Tumelenga kwa nia njema kabisa ya kufanya mageuzi kwa ujenzi uliozoeleka Tanzania, tumelenga na tayari tunafanya ujenzi kuwa ni mwepesi sana kwa kila mwenye nia ya kujenga.

Mpango wetu wa Nyumba kwa Wote, ujenzi wenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu, tunaachana kabisa na ujenzi wa kutumia mabati kama nyenzo kuu ya kuezekea nyumba. Tuna utaalaam wa kuunda vifaa vya ujenzi kwa kutumia vifaa tunavounda wenyewe kwenye kiwanda chetu kidogo, vifaa ambavyo vinaweza kuundwa hata kwenye site ya ujenzi ili kupunguza gharama za usafirishaji kwa mwenye kujenga. Kwa ujenzi wetu, hauna haja kabisa ya kutumia bati, ikibidi unataka kutumia bati basi litakua kwa mapambo tu.

Mpango wetu hauhusishi kuezeka tu, ni mpango kamili wa ujenzi unaoanzia kukupunguzia gharama kuanzia unapoanza kujenga msingi, kuweka sakafu, kunyanyua kuta, kuezeka. Kuezeka kwetu kutakupunguzia gharama kwa aina tatu au zaidi. Hauna haja ya mbao za bati, hauna haja ya mabati, hauna haja ya mbao za dari (blundering), hauna haja ya dari la gypsum boards na pia unaongeza thamani ya nyumba kwa kupata nafasi mpya, kiwanja kingine kipya juu ya nyumba yako, kwa maana kua sehemu (nafasi) yote ambayo ingepotea bure kwa mabo za dari na mbao za bati tunaiokoa na unaweza kuitumia. Unapata kiwanja kipya cha ujenzi juu ya kiwanja chako unachojenga.

Tafadhali poitia nyuzi zetu humu JF zinaelezea sana ujenzi wetu kwa kina na unaweza kutuuliza chochote upendacho. Pia yote tunayoyaandika unaweza kupata picha na video clips zake au unaweza kuja kujionea tulipokwisha jenga.

Ili kufupisha maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605, naitwa Abdul Ghafur.
bado mnatoa hizi huduma Abdul Ghafur?
 
Back
Top Bottom