Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

Blackynad

Member
Joined
Mar 26, 2023
Posts
26
Reaction score
135
Habar zenu.

Mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke, inaninyima confidence kabisaa

Kama dermatologist yupo anisaidie ushauri, stretch marks zinaondoa mvuto jamani
 
Habar zenu. mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke , inaninyima confidence kabisaa

Kama dermatologist yupo anisaidie ushauri , stretch marks zinaondoa mvuto jaman
muone( sachques store ) atakusaidia nenda insta andika ilo jina utapata namba zake muulize

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom