Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni nzuri hua inawasaidiaTumia hii hapa pia olive oil, ukichanganya na chumvi na sukari inaweza saidia pia.
Kabisaa mkuu, iko vizuri sana kuondoa hizo mambo.Hii ni nzuri hua inawasaidia
Alooooooooooo.Habar zenu. mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke , inaninyima confidence kabisaa
Kama dermatologist yupo anisaidie ushauri , stretch marks zinaondoa mvuto jaman
Kupitia hii comment kuna wadau wamesimamisha na kuchukua sheria mkononiNyuma ya mapaja na kiunoni
AloooooooooKumbe PM saivi kuna mabadiliko wajameni
Nmeona leo kaka PM naenda kufanya nini na Sina mama jukwaani humuAlooooooooo
ulikua hujui.
mambo ya banners hayo.
Chukua mdalasini WA unga changnya na mafuta ya nazi na mafuta ya mzaituni uwek na vinegar jisugue asubuhi na jioni itakusaidiaHabar zenu. mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke , inaninyima confidence kabisaa
Kama dermatologist yupo anisaidie ushauri , stretch marks zinaondoa mvuto jaman
Ww unasemea kusimamisha tuu.! Mwenzio huku mm nshamaliza mambo kitambo sanaKupitia hii comment kuna wadau wamesimamisha muda huu
Uyo anaongea kingereza kama gugo mimi maamuma ntamuwezea wapiKuna Joanah muombe kampani huko pm
Na kuna mabao mengi yamefungwa kupitia hii comment🤣Kupitia hii comment kuna wadau wamesimamisha muda huu
Ww unasemea kusimamisha tuu.! Mwenzio huku mm nshamaliza mambo kitambo sana
Umeshachukua sheria mkononiNa kuna mabao mengi yamefungwa kupitia hii comment🤣
Duuuh😂😂😂kisa michirizi Tu🙌🙌🙌Ww unasemea kusimamisha tuu.! Mwenzio huku mm nshamaliza mambo kitambo sana
Dah eh bhana ww acha tuu, ndo nawaza hapa Kwan ilitokea jambo gn mana nmeshasahuUmeshachukua sheria mkononi