Naomba kujuzwa eti nyau asipoomyeshwa kufukia mavi na mamayake atajua ?

Naomba kujuzwa eti nyau asipoomyeshwa kufukia mavi na mamayake atajua ?

Kwa mnaojua au mnaofuga Paka me Nina swali moja Kwa mfano nyau kazaliwa leo halafu ukamtenga na mama yake je atajua umuhimu wa kufukia kinyesi chake?? Na kama atajua ni nini hiko kitachomwongoza?
Wanafundishwa na wanaelewa na Mimi nimefanya kazi iyo pia udogoni kwa mbwa na nyau
 
Kwa mnaojua au mnaofuga Paka me Nina swali moja Kwa mfano nyau kazaliwa leo halafu ukamtenga na mama yake je atajua umuhimu wa kufukia kinyesi chake?? Na kama atajua ni nini hiko kitachomwongoza?
Chukua litoto la mwanaccm mmoja, lipe nafasi ya uongozi halafu uone kama litakosa kuwa na chembechembe za ujinga na ufsadi na ulafi. Kuna tabia zipo kwenye damu.
 
Kwa mnaojua au mnaofuga Paka me Nina swali moja Kwa mfano nyau kazaliwa leo halafu ukamtenga na mama yake je atajua umuhimu wa kufukia kinyesi chake?? Na kama atajua ni nini hiko kitachomwongoza?
"Fitrah"

Waislam tunaamini, kila kiumbe kimepewa elimu yake ya asili na muumba wetu (desposition au instincts).

Kulingana na Kamus Dewan, neno “fitrah” ni tabia au mwelekeo wa asili (Kamus Dewan, 1996). Pia inafafanuliwa kama hisia za kidini. Kwa mtazamo wa etimolojia, neno fitrah linatokana na neno la Kiarabu fitrah, ambalo linamaanisha "kuanzisha" mielekeo kutoka kuzaliwa "tabia" na/au "silika".
 
Msaada nyau wangu ameingia kwny mambao mbao huko uwani hataki kuonana na watu anatoka usiku kwa usiku bado ni mdg ameletwa juzi tuu..nawaza si atakua na tabia za paka wa mtaani,? Au njia gani nitumie nimkamate......
 
Back
Top Bottom