the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
Hivi naomba kujuzwa faida za mwanaume kuvaa boxer na hasara za kutokuvaa kwa maana naona kama kero ukivaa inayotight dushe inabanwa sana korodani ndio usiseme ukivaa yakuachia space dushe inajichora mpaka sometimes aibu.