the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
Ukikalia kiti chenye ncha sehemu mfano msumali then jeans ikachanika ukabaki tako wazi utapigiwa miluzi
acha kengere zielee utakapozibana na mapaja wakati unakimbia ndio utajua hujui.[emoji23][emoji23]
Vaa size inayo fit
Tafuta tetei mkuu wachana na boxerHivi naomba kujuzwa faida za mwanaume kuvaa boxer na hasara za kutokuvaa kwa maana naona kama kero ukivaa inayotight dushe inabanwa sana korodani ndio usiseme ukivaa yakuachia space dushe inajichora mpaka sometimes aibu
Tafuta tetei mkuu wachana na boxer
Hapana umekosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]teitei mkuu ni za ke tu ili ziwatekenye huko
Achana kabisa na kuvaa zilizobana zinaathiri nguvu ya kudisa, pili sidhani kama huo mdude wako unakuwa umesimama muda wote kiasi cha kuonekana kama umevaa iliyopwaya. Kwa ushauri vaa ambayo haijabana.
Hapana umekosea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaumeeee
Kama boxer zinakubana...basi usivae pamoja na suruali
No yaan vaa boxer peke ake bila surual...Kwahy nitembe uchi!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kengere zielee utakapozibana na mapaja wakati unakimbia ndio utajua hujui.[emoji23][emoji23]