Mkuu hakuna nchi nzuri duniani kama Tanzania blv or not...Tanzania ni nchi pekee ambayo kuna watu hawalali ili wananchi wake walale...sio kawaida kila siku unaamka unafanya shughuli zako salama..unarudi kwako salama tena kwa muda unaotaka...katika nchi ina uungwana Africa ni Tanzania.
Kwa Asia ni ni nchi nyingi wamejengewa ustarabu..:na heshima...South korea da best...America kama ukienda nenda kajifunze(exposure) then uje bongo ufanye investments...hii yanga mnayo iona sa hiv si bahat mbaya...yule Rais aisee IQ yake si ya kawaida nenden chuo flan hapo posta mkaulize taarifa zake.
He is not normal guy ever..,,na ametokea chin kabisaa..,njaa anaifaham, imagine b4 hajui kama atakuwa Rais...but kila mimba ya mtoto wake lazima wife akajifungulie America...very geniouz guy. Wewe unalipwa mil3 unataka ukimbilie USA usalama wako ni mdogo bna..