Naomba kujuzwa faida za kuwa na GREEN CARD ya Marekani

Nenda YouTube search For EBMSWAHILI/EM SCHOOLERS kaeleza hajaacha kitu
 
Kama una mshahara wa 3m hapa TZ una chance kubwa ya kufanikiwa ukiwa hapahapa. Kwenda nchi za watu utapoteza miaka zaidi ya miwili kujitafuta na kufit kwenye mifumo yao. KOMAA HAPAHAPA
Mafanikio kwako ni nini?
 
Kweli Tz ni nchi nzuri na ni nyumbani. Lakini nakuhakikishia kuna nchi zaidi ya 5 Afrika ambazo ni nzuri kuliko Tz na kuna nchi zaidi ya 20 duniani ambazo ni nzuri pia kuliko Tz.
 
Inachukua muda gani kwa green card kuwa revoked kwa kutoshi Marekani tangu uipate
 
Kwa hela hiyo pambana mdogo mdogo within 5 years ifike angalau 5-10M bongo unaishi fresh tu kuliko huko.......

Marekani utapaona pazuri kama ukitokea class ya chini sababu hata kufanya manual work inakua sio ishu mpaka ujipate

Kwa hali yako uliyonayo kiuchumi utapata sonona ukienda huko, maisha ya marekani sahizi ni magumu na hayatotengemaa any time soon (uwe unaangalia market Mondays you tube and the likes) ukiwa mgeni ts even worse
 
Kama una mshahara wa 3m hapa TZ una chance kubwa ya kufanikiwa ukiwa hapahapa. Kwenda nchi za watu utapoteza miaka zaidi ya miwili kujitafuta na kufit kwenye mifumo yao. KOMAA HAPAHAPA
Uchumi wa US sahizi ni kisanga, angalu ukiwa mwenyeji you can maneuver yourself
Na kama hana mwanamke bado hajakutana na cultural shock ya dating environment

Ajikusanye apate visa hata ya mwezi akapime upepo
 
Inachukua muda gani kwa green card kuwa revoked kwa kutoshi Marekani tangu uipate
Ni miezi sita unless uwe na kibali maalum cha kukuruhusu kukaa nje ya marekani kwa zaidi ya miezi sita
 
Aisee kuna vitu vingi nimeokota hapa kwny huu uzi,Big up..
 
Ni miezi sita unless uwe na kibali maalum cha kukuruhusu kukaa nje ya marekani kwa zaidi ya miezi sita
Hapa ni pazuri sana unazikusanya us ,

unawaambia Wana wanakuandalia heka zako kumi mitaa ya njombe unaenda kulima kiazi Cha kumwagilia kuanzia wa Saba mwisho kufikia wa kumi mwishoni unavuna unalud zako us unaenda kuwatambia Wana jinsi ulivyo na harakati si mchezo wanadiaspora lazima waone wivu teheeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…