Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Hamisha mlango wa master uwe karibu naVyumba vingine,Hamisha mlango wa Sebule ulete chini, peleka mbele baraza, weka corridor ndogo itenganishwe vyumba na sebule.Jaman nimechora kitu apo lkn sa kijua cost yake n chenga me sio mtaalam sana wa hiv vitu naomba msaada jamn kw raman hiiView attachment 1819758
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hayo tu kwa haraka haraka.
Nyumba kubwa sana hiyo.