Naomba kujuzwa gharama ya kupandikiza Mimba

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Salam,

Napenda kufahamu gharama za kuoandikiza mimba hapa nchini Tanzania
 
Salam,
Napenda kufahamu gharama za kuoandikiza mimba hapa nchini Tanzania
pole mkuu, jaribu kuwacheki hawa kwenye website yao wana maelezo kamili

 
Mbona ni jambo jema tu lakini nashindwa kuelewa kwanini Watu wanampatia mleta mada pole?

Au ni majanga yatayokukuta hadi apewe pole?
Ingekuwa vyema kama ungequote post ya ile pole badala ya hii
 
Mbona ni jambo jema tu lakini nashindwa kuelewa kwanini Watu wanampatia mleta mada pole?

Au ni majanga yatayokukuta hadi apewe pole?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…