Naomba kujuzwa gharama ya kuziba meno

Naomba kujuzwa gharama ya kuziba meno

1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kuziba ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.

2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?

Naomba kuwasilisha.
Usitoe jino.
Nenda kalizibe
 
Ahsante mkuu Kheri kuziba kuliko kuwa ½ Kibogoyo
Njia bora ni KUZIBA!!! Jino ni kama mfupa, ukiondoa unaharibu structure ya mdomo.

Pia kuliko kuliondoa kabisa why usijaze tu ukabaki nalo likifanya kazi vizuri.

Ukiwa na 40,000 unamaliza kila kitu na chench inabaki pale MUHIMBILI! Huhitaji rufaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom