Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Usitoe jino.1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kuziba ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.
2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?
Naomba kuwasilisha.
Nilikinunua tabora mwaka Jana kinasaidia sana hasa kuondoa harufu mbaya mdomoni
Njia bora ni KUZIBA!!! Jino ni kama mfupa, ukiondoa unaharibu structure ya mdomo.
Pia kuliko kuliondoa kabisa why usijaze tu ukabaki nalo likifanya kazi vizuri.
Ukiwa na 40,000 unamaliza kila kitu na chench inabaki pale MUHIMBILI! Huhitaji rufaa
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ kibogoyoAfadhari wewe jino moja mimi meno 6 yana matundu kufikia tarehe ya leo