Naomba kujuzwa gharama ya statar ya Mercedes Benz c180 used

Naomba kujuzwa gharama ya statar ya Mercedes Benz c180 used

Hivi kwenye maduka ya vifaa used unaweza kuta kifaa cha Benz? Kwanini usiwasiliane na wanaoagiza magari au vifaa nje moja kwa moja, ili kuokoa muda.
Ikibidi taagiza engine kma haitozidi 2m
20210725_183939.jpg
 

Attachments

  • IMG_20211114_171140.jpg
    IMG_20211114_171140.jpg
    51.8 KB · Views: 23
Mkuu hapo unaona umemalizaaa... Anyways I take passo as choo chakukaa kinachotembea. Jisikie aibu bs kusifia uchafu mbele ya gari za wanaume waliokomaa kiakiri na kiuchumi.
dah we jamaa ungekuwa na uwezo hata wa kumuongezea uhai mbu kwa dakika mbili tu,nafikiri dunia ingesimama,sio kwa dharau hizo,uzuri ni kwamba"MAISHA NI YA MUNGU"tajiri na profesa wanakufa kwa corona,chizi wa jalalani mzima wa afya,,,
 
Back
Top Bottom