Naomba kujuzwa gharama ya statar ya Mercedes Benz c180 used

Mkuu hapo unaona umemalizaaa... Anyways I take passo as choo chakukaa kinachotembea. Jisikie aibu bs kusifia uchafu mbele ya gari za wanaume waliokomaa kiakiri na kiuchumi.
dah we jamaa ungekuwa na uwezo hata wa kumuongezea uhai mbu kwa dakika mbili tu,nafikiri dunia ingesimama,sio kwa dharau hizo,uzuri ni kwamba"MAISHA NI YA MUNGU"tajiri na profesa wanakufa kwa corona,chizi wa jalalani mzima wa afya,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…