Naomba kujuzwa gharama ya ujenzi wa hospitali

Naomba kujuzwa gharama ya ujenzi wa hospitali

unaongelea hospitali au majengo ya hospitali ?
Elewa maana ya kuanza,, na hospitali zina hadhi yake tofauti tofauti,, unaweza ukaanza na vitengo baadhi na. Vingine vinaintroduced as business growing..
 
Mhh, Mkuu unazungumzia pamoja na vifaa vyake (on the minimum scale), au umeweka kwa ujenzi/ukarabati wa miundo mbinu tu? Naomba tusaidie mchanganuo kwa 20M ya clinic tuone.
Aina gani ya clinic unataka mchanganuo? Hapa nazungumzia specialized medical field... Tuanzie hapa kwanza.
 
weweeeeeweee mashine moja tu ya CT scan zaidi ya milion 200 iyo milion miambili labda dispensary au duka la dawa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani kila hospital ina CT scan ????

Watu wa JF ni wabishi na wanajifanya wajuaji mtu kachangia kutokana na uzoefu wake.
Na wewe changia uzoefu wako tuone
 
Aina gani ya clinic unataka mchanganuo? Hapa nazungumzia specialized medical field... Tuanzie hapa kwanza.
Naam Mkuu, tuanzie hapo hapo Specialized Clinic yenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa wa specialty MOJA tu mfano Internal Medicine (Magonjwa ya ndani kama Kisukari, Moyo, figo,ufumo wa upumuaji nk).
Naomba tusaidie, mchanganuo in terms of Lab equipments , consultantion rooms, pharmacy and other related clinic legal framework.
 
Nadhani walau ungekuja na mpango wako, yaani makadirio ya bajeti uliyonayo au unayotarajia kupata.

Sasa kuanzia hapo watakuja Wataalamu na kukushauri ujenge nini kati ya Zahanati, kituo cha afya, Hospitali ya kati au Hospitali kubwa.
 
Naam Mkuu, tuanzie hapo hapo Specialized Clinic yenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa wa specialty MOJA tu mfano Internal Medicine (Magonjwa ya ndani kama Kisukari, Moyo, figo,ufumo wa upumuaji nk).
Naomba tusaidie, mchanganuo in terms of Lab equipments , consultantion rooms, pharmacy and other related clinic legal framework.
Uwez ukaweka clinic ya internal medicine mzee lazima uwe specific MMED in what? Hapo ndo unaenda kupata clinic kama ni figo ni figo tu, maana ya clinic ni kuwa mgonjwa anakuja akiwa kashakuwa diagnosed, kama ni kansa ishajulikana ni kansa anakuja clinic kwa kupata clinical management na kumonitor prognosis ,, so kuwa specific kaka unataka kudeal na nini...
 
Uwez ukaweka clinic ya internal medicine mzee lazima uwe specific MMED in what? Hapo ndo unaenda kupata clinic kama ni figo ni figo tu, maana ya clinic ni kuwa mgonjwa anakuja akiwa kashakuwa diagnosed, kama ni kansa ishajulikana ni kansa anakuja clinic kwa kupata clinical management na kumonitor prognosis ,, so kuwa specific kaka unataka kudeal na nini...
soma tena utopolo wako af uandike upya
 
soma tena utopolo wako af uandike upya
Ha ha aya daktari sema nilekebishe weww mimi huwa nipo tayari kujifunza ndomana kila jukwaa mimi ninachangiaga,, nilekebishe makosa kama kna sehemu nimekosea maana mimi sio medical expert ila nimepata tu kushiriki kwenye hii miradi upande wa sanitary infrastructures
 
Uwez ukaweka clinic ya internal medicine mzee lazima uwe specific MMED in what? Hapo ndo unaenda kupata clinic kama ni figo ni figo tu, maana ya clinic ni kuwa mgonjwa anakuja akiwa kashakuwa diagnosed, kama ni kansa ishajulikana ni kansa anakuja clinic kwa kupata clinical management na kumonitor prognosis ,, so kuwa specific kaka unataka kudeal na nini...
Asante mkuu, nimesoma pia reply yako post #28, Nimefurahi kwa kuwa umekiri kitu, no wonder umenijibu namna hii. Kuweka rekodi sawa, huo mfano wa clinic niliyokuomba mchanganuo wake unaweza kuanzisha. Uhalisia ni kwamba, hauwezi kuanzisha "a functional Clinic" kwa hiyo 20M uliyosema. Hii wala haikusudii kukatisha watu tamaa, ni katika kuwekana sawa.
 
Hospitali ukiwa na 200 M unaanza
Kituo cha afya ukiwa na 100 M unaanza
Zahanati ukiwa na 80 unaanza
Clinic ukiwa na 20 M unaanza
Hospitali gani unaanza na 200M?

Hiyo ni majengo hadi vifaa?

Labda uanze na kituo cha afya tena inaweza kuishia kwenye majengo tu.
 
Back
Top Bottom