Naomba kujuzwa gharama za kufanya wiring

Naomba kujuzwa gharama za kufanya wiring

Inategemeana na sehemu husika
Imekaaje
2
Inategemeana na aina ya wayaring system unayoitaka
Utataka conduit au surface
Yaani waya zipite kwenye bomba au zipite kawaida
Kama zitapita kwenye bomba
Pesa yakutindua ukuta itaongezea ila kama utafanya surface basi hera ya waya itaongezeka kwasababu surface inazingatia kona koba
Na kona kina zinamaliza waya
Anyway
Kitawala kikuu (mainswitch) tuseme 30000
Circuit bleaker 13000
Earthrod labda uweke ya 6000 japo zipo had za 40000
6mm (ile inayochukua umeme nje kuleta ndani) labda uchukue 3meter ambaya garama yake ni 4000 kwa meter
1.2mm hapo tuseme kama 40 meter ambayo nayo imepanda bei kidogo nadhan now inacheza kwenye 1500 kwa meter au pungufu kidogo
2.1mm utachukua mita 15 ambayo inacheza kwenye 1800-2000
Square box zitakua 4
Switch sockets zitakua2
Lamp horder zitakua 3 ndani mbili na nje moja
Na crips usizisahau apo
Tuseme maxmum kwa vifaa tu vinaweza kufika 150 hadi 200
Fundi sijajua kwasabau kila mtu na bei zake
Usisahau muhuri!
Ghalama yakulipia tanesco inategemeana na ulipo nadhan mjini ni laki 321 ila vijijini ni elfu27
Wire 1.2mm? Wire 2.1mm? Siyo 1.5mm na 2.5mm? Kweli mambo yanabadilika haraka sana
 
Huu ni muandiko wako mkuu ama wa fundi mwenyewe? [emoji848]
Huo ni muandiko wa fundi, kaandika jina la kifaa, idadi na bei yake..
Mie nimepiga hesabu, pembeni kabisa.. Ukitizama vizuri uandishi wa namba zinatofautiana

Vipi kwani sheikh!?
 
roller moja la wire e.g. red bei gani boss? Switches na switch sockets umeweka? Bulb holders je? Earth wire na earth rod?

Roller nimeweka bei ni Tsh 30,000/= ,hivyo vingine havina issue maana bei yake ni ya kawaida sana,vyumba viwili vikorokoro hivyo haviwezi kuzidi elfu 30.
 
Huo ni muandiko wa fundi, kaandika jina la kifaa, idadi na bei yake..
Mie nimepiga hesabu, pembeni kabisa.. Ukitizama vizuri uandishi wa namba zinatofautiana

Vipi kwani sheikh!?
aah hapo penye vifaa vilivyoandikwa chini ya neno "maji" nilikua napata taabu kuvisoma vizuri. muandiko wa kifundi zaidi shekh wangu 😁

tunajifunza vitu kidogo ambavyo huenda siku moja vikatusaidia. 🤝
 
aah hapo penye vifaa vilivyoandikwa chini ya neno "maji" nilikua napata taabu kuvisoma vizuri. muandiko wa kifundi zaidi shekh wangu [emoji16]

tunajifunza vitu kidogo ambavyo huenda siku moja vikatusaidia. [emoji1666]
[emoji23]
 
Wire 1.2mm? Wire 2.1mm? Siyo 1.5mm na 2.5mm? Kweli mambo yanabadilika haraka sana
Sina hakika na hizo dimensions ila Siku hizi consumption kubwa ipo kwenye pasi labda wengi wetu tunatumia led ambazo ni very light kwenye current consuption.
 
Habari wakuu,

Naomba kujuzwa gharama ya kufanya wiring kwa room mbili tu, pamoja na vifaa vyote vinavyohitajika.
vifaa itakutoka si zaidi 120,000
ufundi siyo zaidi ya 100,000.

Angalizo:mwambie fundi akuandikie majina ya vifaa na kampuni,nenda katafute bei dukani mwenyewe.usikubali akupeleke yeye dukani,atapanga na muuzaji jinsi ya kukupiga kabla hamjaenda naye.Ila usinunue.siku ya kununua nenda naye. sababu vitu vingi vya umeme ni feki sana.Hasa kama uko Dar,kariakoo ndiyo sehemu wanapobambika sana

mambo mengine ni madoido tuu.
 
Nimepata muongozo!!!!!Je bei mlizozitaja hapo kwa tarehe hizi ni hizo hizo au zimebadilika?
 
Gharama zake ni ndogo sana mkuu wasikutishe.

Kwa room mbili:-

1. Lazima kila room iwe na bomba nne za ukutani yaani za taa 2 na za TV mbili ina maana utanunua bomba nane, pia bomba za kutambaa kwenye mtambaa panya lets say 10 kwa kila chumba jumla 20, max weka 30 ambao ni Tsh 45,000/=(Zile Nyeupe ndio ngumu).

2. Nyaya blue, red na black rola moja moja jumla Tsh 90,000-100,000/=

3. Vibati na socket kimoja jero lets say 16 unanunua 8,000/=

4. Main Switch 4 ways - elfu 50, cb =25,000/=

5. Waya wa 16 hapo inategemea na umbali wanauza kwa meter ambapo kwa Meter ni buku 2-3.

Kwahiyo Jumla hapo juu haizidi 250,000/= Fundi ni maelewano naye tu.

Room 2 Main switch njia 4 ? Una socket na switch tu.

-Metal Box double - Kwa ajili ya socket kila chumba. -2 @1700=3,400

-Metal Box double - Nunua 1 hii ni kwaajili ya 2 gang light switch- moja itawasha chumba kimoja na nyengine itawasha nje.@1700=1,700

-Metal Box Single - Nunua 1 hii ni kwa ajili ya 1 Gang light switch itawasha chumba kimoja@1200=1,200

-Double switch sockets ( TRONIC) - Nunua 2@ 7500 = 14,000
-2 Gand light switch- Nunua 1@ 2500 = 2,500
-1 Gang light switch - Nunua 1@2000= 2,000
-Angle bulb holder - Nunua 3@1500=4,500

-Main switch chukua 3 ways ila hata 2 ways itafanya kazi vizuri kwa kuwa ni vyumba 2 tu ila nakushauri uchukue 3 ways@ 35,000 complete

-Earthrod 1@10000= 10,000
-2.5mm Earthwire 10m@900 = 9000

-Conduit pipe - 13@ 1400= 18,200
-2.5mm cable -20m@2200=44,000
-1.5mm cable - 24m@1500= 36,000
-4mm cable - 3m@3500= 10,500
-chukua misumari ya ceiling board kuishikilia conduit kama utaichimbia - 1/2kg @ 2500=1,250
-Elbow 15@300= 4,500
-Round box 3@500 = 1,500
-Junction box@1200 - muulize fundi wako
-Top cover @400 muulize fundi wako
-Bakora 1 @ 20,000 inategemea na fundi chuma
-Tanesco @27000 = 27,000
-Bulb 3 @2000= 6,000
-Mchoro na mambo ya mihuri kama 40,000 [emoji2][emoji846] hapa sijawahi fuatilia kuju a ndio utaratibu au watu wanapigwa

-Jumla ni Tshs - 292,250

-Tuongeze 15% ya dharura kama bei za material zimepanda and so on ..so inakuwa

Tshs 336,000

- Weka labour charge - 80,000- 100,000

Jumla 436,000
 
Inategemeana na sehemu husika
Imekaaje
2
Inategemeana na aina ya wayaring system unayoitaka
Utataka conduit au surface
Yaani waya zipite kwenye bomba au zipite kawaida
Kama zitapita kwenye bomba
Pesa yakutindua ukuta itaongezea ila kama utafanya surface basi hera ya waya itaongezeka kwasababu surface inazingatia kona koba
Na kona kina zinamaliza waya
Anyway
Kitawala kikuu (mainswitch) tuseme 30000
Circuit bleaker 13000
Earthrod labda uweke ya 6000 japo zipo had za 40000
6mm (ile inayochukua umeme nje kuleta ndani) labda uchukue 3meter ambaya garama yake ni 4000 kwa meter
1.2mm hapo tuseme kama 40 meter ambayo nayo imepanda bei kidogo nadhan now inacheza kwenye 1500 kwa meter au pungufu kidogo
2.1mm utachukua mita 15 ambayo inacheza kwenye 1800-2000
Square box zitakua 4
Switch sockets zitakua2
Lamp horder zitakua 3 ndani mbili na nje moja
Na crips usizisahau apo
Tuseme maxmum kwa vifaa tu vinaweza kufika 150 hadi 200
Fundi sijajua kwasabau kila mtu na bei zake
Usisahau muhuri!
Ghalama ya kulipia Tanesco inategemeana na ulipo, nadhani mjini ni laki 321 ila vijijini ni elfu27
hizi size za 1.2mm na 2.1mm zinatumika wiring gani, mbona watu mnawalisha matango pori wadau,
 
Back
Top Bottom