Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
Kwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ukubwa huo lazima 10M ikateKwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
Aisee kumbeKwa ukubwa huo lazima 10M ikate
Yaah fensi inakula tofari kuliko nyumba yenyeweAisee kumbe
Na Ile ya waya vipYaah fensi inakula tofari kuliko nyumba yenyewe
Duuuh,kwa gharama hiyo unajenga nyumba nyingine kabisaKwa ukubwa huo lazima 10M ikate
Ile Sina uzoefu wake sababu mimi sio fundi ilaa nazungumzia uzoefu tu Kwa hiyo ya tofariNa Ile ya waya vip
Uzuri ujenzi sio kama kununua kitu dukani Mara moja, mwite fundi akupe mchanganuo alafu gawa into two kisha anza na msingi kisha tafakari hatua ya pili ya kunyanyua ukuta, kama nguvu endelea kama haipo pumzika kidogo. Inaweza pia ikawa choni ya hapo (6M au 7M) na finishing Kwa mbele tu maana pande za majirani huwa zinapigwa lipu tu maana wakijenga wataunganisha huna haja ya kufanya finishing kama rangiAisee kumbe
Ni kweli unajenga nyumba nyingine kabisaDuuuh,kwa gharama hiyo unajenga nyumba nyingine kabisa
Ya ndo uzuri wa ujenzi anaweza Anza mdogo mdogo lakini ukweli eneo la 20*30 sio dogo lazima pesa itumike ya kutoshaUzuri ujenzi sio kama kununua kitu dukani Mara moja, mwite fundi akupe mchanganuo alafu gawa into two kisha anza na msingi kisha tafakari hatua ya pili ya kunyanyua ukuta, kama nguvu endelea kama haipo pumzika kidogo. Inaweza pia ikawa choni ya hapo (6M au 7M) na finishing Kwa mbele tu maana pande za majirani huwa zinapigwa lipu tu maana wakijenga wataunganisha huna haja ya kufanya finishing kama rangi
Tofali 2650 2,650,000/=Kwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
Kwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
Yes ni kikubwa hicho, inafika 10m kama ulivyokadiria kama akifuata hatua zote maana wengi wanapiga nguzo za kupishanisha tofari kukwepa cost ya nondo!Ya ndo uzuri wa ujenzi anaweza Anza mdogo mdogo lakini ukweli eneo la 20*30 sio dogo lazima pesa itumike ya kutosha
Bora Ile ya waya tuukama ndio hivyoYes ni kikubwa hicho, inafika 10m kama ulivyokadiria kama akifuata hatua zote maana wengi wanapiga nguzo za kupishanisha tofari kukwepa cost ya nondo!
Material tu yanaweza fika 5m, hapo tofari zinaweza kuwa 2500 au 2000 bila msingi (2.5m) ukiongeza na msingi (kwa Mwanza unaweka trip 20 mawe ya msingi kama 1.2 milion ila kwa Dar na sehemu zingine wanatumia msingi wa tofari inaweza cheza humo humo), weka mchanga, weka kokoto na weka cement na bado ufundi
cha uoga jenga mzingi pandisha zozi 4 piga lenta ya nondo moja jipambe nyayua malizia na lenta nondo moja kama huna hela...Bora Ile ya waya tuukama ndio hivyo
Usiopope mkuu,jenga hata msingi kwa kuanzia lakini pia mwite fundi akupe gharama halisi ili uwe na way forward au piga hiyo gharama ya fence ya wire alafu ulinganishe kama ingekuwa fence ya matofari, hizo gharama zingekufikisha wapiBora Ile ya waya tuukama ndio hivyo
Tofali 2650 2,650,000/=
Cement 53bags 795,000/=
Mchanga trip moja (15m³) 230,000/=
Kama utaweka mkanda ongezea
Nondo 25 650,000/=
Cement 19bags 285,000/=
Kokoto trip 1 (3m³) 340,000/=
Assumption made
Msingi kozi 5
Juu kozi 8
Kila kozi inakula tofali 208
Mkuu, vipi haiwezekani kutumia wiremesh kama mbadala wa nondo?a
cha uoga jenga mzingi pandisha zozi 4 piga lenta ya nondo moja jipambe nyayua malizia na lenta nondo moja kama huna hela...