Mkuu Jishike, tena hapo Cost n za kusimamisha tofali kuna wengine wanalaza Tofali sio masihara mzee.
ingia kwenye fensi baada ya kumaliza mambo yako ya muhimu or else jenga fensi kama unaweka hela kwenye kibubu ndio utafanikisha kitu kwa ubora.
Ukishika 500k nenda ita fundi aguse eneo a hadi b.. hvyo hvyo hadi unamaliza.
Saivi pasuka kwenye Msingi wa hiyo Fensi kwanza, Zungusha Msingi wako kisha Kausha kimya,kila ukipata visent itafundi pandsha tofali...
hvyo hvyo mpk kukata mwaka fensi kali sana ishazunguka, sasa Unajipanga Kuitandika PLASTA ya VIWANGO vya Stiglers Gauge...
ila ukisema ujenge yote kwa mara 1 usipoishia kati niiite DOGI, au else utajenga kwa kujikaza na utajenga vitu vibovu low quality, Jenga Fensi kwa Awamu usije rudia jenga mara mbili Mvua zinaumbuaga sana watu waliokurupuka Jenga fensi kwa kuunga unga.