Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
- Thread starter
-
- #21
Hapo kweliUsiopope mkuu,jenga hata msingi kwa kuanzia lakini pia mwite fundi akupe gharama halisi ili uwe na way forward au piga hiyo gharama ya fence ya wire alafu ulinganishe kama ingekuwa fence ya matofari, hizo gharama zingekufikisha wapi
Duh aisee gharama kinomaMi zilinitoka mil 14..same plot
Very nicemzingo wa hilo eneo ni futi 600 ukijenga mzunguko mmoja wa tofali za ft 1.5 utatumia tofalitakribani 375..ukijenga mzingi wa tofali cozi 4 utatumia tofali 1500
ukinyanyua ukuta cozi 10 utatumia tofali3750 ukijumlisha umapata tofali 5250 fanya elf sita tofali...nguzo za nondo zitzkuwa 16 kila nyuzo inakula nondo moja beam ya triangle, ukipiga lenta moja utatumia ndondo 60 beam ya triangle sasaukipiga lenta 2 na mkanda wa msingi ni wewe maana mzunguko wa ukuta wako ukilaza nondo moja moja zinaingia nondo 20...kokoto tipa moja mchanga tipa 5-8 gharama nyingine ni za mafundi na mbao au marini bodi za lenta...jumlisha hivyo vitu kwa bei uliyopo utapata bei si chini ya m10+ kwa maeneo nililopo
ulijaza nguzo za zegeMi zilinitoka mil 14..same plot
Sio tofali tu Hadi nondo zinaliwa maana itabidi ujenge msingi wa zege. Na At least kila baada ya mita tatu pasimame nguzo ya zege iliyosheheni nondo . Bila ya hivo huo ukuta hautakuwa imara .Yaah fensi inakula tofari kuliko nyumba yenyewe
Ushauri mzuri ninapanga kuweka ya waya lakini Naona haitakua poa na haipendeziMkuu Jishike, tena hapo Cost n za kusimamisha tofali kuna wengine wanalaza Tofali sio masihara mzee.
ingia kwenye fensi baada ya kumaliza mambo yako ya muhimu or else jenga fensi kama unaweka hela kwenye kibubu ndio utafanikisha kitu kwa ubora.
Ukishika 500k nenda ita fundi aguse eneo a hadi b.. hvyo hvyo hadi unamaliza.
Saivi pasuka kwenye Msingi wa hiyo Fensi kwanza, Zungusha Msingi wako kisha Kausha kimya,kila ukipata visent itafundi pandsha tofali...
hvyo hvyo mpk kukata mwaka fensi kali sana ishazunguka, sasa Unajipanga Kuitandika PLASTA ya VIWANGO vya Stiglers Gauge...
ila ukisema ujenge yote kwa mara 1 usipoishia kati niiite DOGI, au else utajenga kwa kujikaza na utajenga vitu vibovu low quality, Jenga Fensi kwa Awamu usije rudia jenga mara mbili Mvua zinaumbuaga sana watu waliokurupuka Jenga fensi kwa kuunga unga.
mkuu ulifanya maamuzi gani? na mimi nataka kuweka fence ya waya.Ushauri mzuri ninapanga kuweka ya waya lakini Naona haitakua poa na haipendezi
Vipi brother ulifanikiwa kuwek ya waya?Bora Ile ya waya tuukama ndio hivyo
Millioni 4 nakuendelea (Electric Fence)Na Ile ya waya vip
Hapa umetumia formula gani kiongozi kupata idadi ya tofali cement mchanga kama hutajaliTofali 2650 2,650,000/=
Cement 53bags 795,000/=
Mchanga trip moja (15m³) 230,000/=
Kama utaweka mkanda ongezea
Nondo 25 650,000/=
Cement 19bags 285,000/=
Kokoto trip 1 (3m³) 340,000/=
Assumption made
Mkanda wa nondo tatu (triangle)
Msingi kozi 5
Juu kozi 8
Kila kozi inakula tofali 208
Tafuta kwenye nyuzi zangu, kuna uzi nilielezeaHapa umetu
Hapa umetumia formula gani kiongozi kupata idadi ya tofali cement mchanga kama hutajali
Nimependa ulipoamua kitumia hesabu kujibu hili swala.mzingo wa hilo eneo ni futi 600 ukijenga mzunguko mmoja wa tofali za ft 1.5 utatumia tofalitakribani 375..ukijenga mzingi wa tofali cozi 4 utatumia tofali 1500
ukinyanyua ukuta cozi 10 utatumia tofali3750 ukijumlisha umapata tofali 5250 fanya elf sita tofali...nguzo za nondo zitzkuwa 16 kila nyuzo inakula nondo moja beam ya triangle, ukipiga lenta moja utatumia ndondo 60 beam ya triangle sasaukipiga lenta 2 na mkanda wa msingi ni wewe maana mzunguko wa ukuta wako ukilaza nondo moja moja zinaingia nondo 20...kokoto tipa moja mchanga tipa 5-8 gharama nyingine ni za mafundi na mbao au marini bodi za lenta...jumlisha hivyo vitu kwa bei uliyopo utapata bei si chini ya m10+ kwa maeneo nililopo
Na vipi kwa kiwanja cha sqm 1,000100.
Hizo lazima zitakuwa mita. Ulishawahi kuona wapi fensi ya futi 20*30? Wakati mzunguko wa nyumba tu yote unazid hivyo vipimoNimependa ulipoamua kitumia hesabu kujibu hili swala.
Ila nikusahihishe tu kia anaposema Kiwanja ni 20 x30 hapo anamaanisha ENEO, sio MZINGO (Mzunguko).
Mzingo wa Kiwanja Cha 20 x 30 ni 20+20+30+30 = 100.
Pili mleta mada hakusema hiyo 20 x 30 ni futi au meter so hesabu zinaweza kubadilika pia.
Dah,Hizo lazima zitakuwa mita. Ulishawahi kuona wapi fensi ya futi 20*30? Wakati mzunguko wa nyumba tu yote unazid hivyo vipimo
Nakuelewa lkn hebu tuweke katika uhalisia na sio kubishana, ukisikia mtu anasema fensi lazima ujue kuwa eneo linakidhi vigezo vya kujenga nyumba au kuwekezwa kitu na kuwekewa uzio. Futi ni ndogo Sana ni Sawa na vyumba viwili au chumba sebule kwa mrefu eneo inaisha. Kama ulishawahi kujenga tutajua nini namaanisha. Ila yote ni sawaDah,
Sijui hata umeeleza nini. Unapoamua kutoa judgement bas vaa ushusika wa pande zote mbili. Uswahilini watu wanauziana viwanja mpaka vya hizo futi. Usi generalize kua LAZIMA ziwe mita.
Labda kwako kiwanja Cha huo ukubwa ndio hakitoshi lakin kwa wengine huo ni ukubwa wa kawaida tu.
Na kama utalaza tofali kwa urefu wa kozi 9 za kusimamisha, zitaimgia tofali ngapi ili kufikia kimo hiko?.Tofali 2650 2,650,000/=
Cement 53bags 795,000/=
Mchanga trip moja (15m³) 230,000/=
Kama utaweka mkanda ongezea
Nondo 25 650,000/=
Cement 19bags 285,000/=
Kokoto trip 1 (3m³) 340,000/=
Assumption made
Mkanda wa nondo tatu (triangle)
Msingi kozi 5
Juu kozi 8
Kila kozi inakula tofali 208
Possibly !!Kwa ukubwa huo lazima 10M ikate
Hapo mwisho kwenye assumption nimeandika kila kozi moja inakula tofali 208, utaongeza tofali 208 kwa kila kozi itakayozidi hapoNa kama utalaza tofali kwa urefu wa kozi 9 za kusimamisha, zitaimgia tofali ngapi ili kufikia kimo hiko?.