strategist22
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 655
- 599
Hello habari,
Naomba kujulishwa gharama za kusafirisha Tani moja (kilo 1000) za nafaka kutoka MBEYA kuja DAR.
Na utaratibu mwingine kama upo.
Asante.
Heri ya mwezi mpya. Ukawe mwezi wa mafanikio.
Naomba kujulishwa gharama za kusafirisha Tani moja (kilo 1000) za nafaka kutoka MBEYA kuja DAR.
Na utaratibu mwingine kama upo.
Asante.
Heri ya mwezi mpya. Ukawe mwezi wa mafanikio.